KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Tumeona nakusikia tamko lakiongozi mkuu wa shughuli zote za utawala serikalini akitoa tamko je nini hatima ya madaktari?na mikutano yao imepigwa marufuku!je wewe unaona ninisuruhisho la mgogoro huu?je warudi makazini?au waendelee na msimamo wao?je wakirudi kazini watafanya kazi kwa upendo au nikusaini kitabu nakukaa bila kupiga round wodini?