Nini hatima ya Lipumba vs Maalim Seif

Nini hatima ya Lipumba vs Maalim Seif

Yaani hata CCM hawakutegemea watapata mtu kama Lipumba kuifanya hii kazi

Seif na Cuf kazi wanayo....
 
Propesa na Dr Slaa ni marafiki wakubwa wa Gazeti la Raia Mwema,Kitila na ZZK nao ni wadau muhimu wa gazeti hili.TAFAKARI
 
Lipumba amepoteza pambano kwenye trailer yani kabla hata movie halijaanza.
 
maMvi ata atangazwe vip, kwenye paji la uso kuna neno Fisadi we mwangalie vizuri, Watanzania kila wakilisoma hasira zinazidi. Tukutane 2020.
 
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza, le profesori hataki kukubali kwamba kifo cha mende kimemfikia kwenye siasa ameanza kutafuta watu wa kuwabebesha zigo la lawama la upuuzi anaoufanya
 
Aliemtaja na kumtangaza kuwa fisadi si ndio aliemuweka kugombea urais?
Halafu kuthibitisha undumilakuwili wake anasema alie na ushahidi aende mahakamani wakati miaka yote alisema na kusisitiza ushahidi anao ila udhaifu wa serikali ndio tatizo
Ndiyo narudi pale pale kwamba mamlaka za serikali zenye wajibu wa kukamata, kushitaki na kuhukumu zifanye kazi yake. Let's leave wanasiasa wetu wa Tanzania pembeni, time to take action.
 
Exactly what I anticipated reasons behind the conflicts everyone has personal interest.

Sometimes I think I'm genius
 
Huyo Lipumba na Kitila lengo lao ni kupambana na Lowassa na sio vinginevyo.
Period
 
kuuliza swal wakati unajua majibu yake,kwa kiswahili cha darasa la 2B huitwa KEJELI...kwa kuwa unatukejeli,basi ngoja nikuridhishe!!PRO.PESA SIO MSALITI BALI NI YUDA ESKARIOTI...umeridhika???
 
Ngoma nzito.... Movie ndo Kwanzaa mbichi na Lowassa ndo staring!!!!
 
Nadhan madai ya profesa ndan ya chama yana msingi wasaliti ni wale waliokiuka falsafa za chama na kupokea matapishi yao....
 
Back
Top Bottom