johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 98,256
- 172,504
Chadema haijawahi kupata umaarufu kuizidi ile CUF ya Prof Lipumba na Maalim Seif enzi za Mkapa na IGP Mahita
Lakini Chadema ndio Chama ambacho wanachama wake wameuawa na kupotea bila kujulikana anayewaua au kuwapoteza
Hiki ni Chama Cha siasa Kweli?
Nimekaa pale 🐼
Lakini Chadema ndio Chama ambacho wanachama wake wameuawa na kupotea bila kujulikana anayewaua au kuwapoteza
Hiki ni Chama Cha siasa Kweli?
Nimekaa pale 🐼