Chadema ndio Chama pekee nchini ambacho Wanachama wake wengi Wamekufa Kwa Kuuawa, kwanini Lakini?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
98,256
172,504
Chadema haijawahi kupata umaarufu kuizidi ile CUF ya Prof Lipumba na Maalim Seif enzi za Mkapa na IGP Mahita

Lakini Chadema ndio Chama ambacho wanachama wake wameuawa na kupotea bila kujulikana anayewaua au kuwapoteza

Hiki ni Chama Cha siasa Kweli?

Nimekaa pale 🐼
 
Chadema haijawahi kupata umaarufu kuizidi ile CUF ya Prof Lipumba na Maalim Seif enzi za Mkapa na IGP Mahita

Lakini Chadema ndio Chama ambacho wanachama wake wameuawa na kupotea bila kujulikana anayewaua au kuwapoteza

Hiki ni Chama Cha siasa Kweli?

Nimekaa pale 🐼
Kwako wewe umaarufu ni upi? Unaupimaje? Na Chama cha Siasa unakielewa na kukitambuaje?
 
Chadema haijawahi kupata umaarufu kuizidi ile CUF ya Prof Lipumba na Maalim Seif enzi za Mkapa na IGP Mahita

Lakini Chadema ndio Chama ambacho wanachama wake wameuawa na kupotea bila kujulikana anayewaua au kuwapoteza

Hiki ni Chama Cha siasa Kweli?

Nimekaa pale 🐼
Anayewauwa hajulikani?Muuaji anajulikana ni sa....
 
Chadema haijawahi kupata umaarufu kuizidi ile CUF ya Prof Lipumba na Maalim Seif enzi za Mkapa na IGP Mahita

Lakini Chadema ndio Chama ambacho wanachama wake wameuawa na kupotea bila kujulikana anayewaua au kuwapoteza

Hiki ni Chama Cha siasa Kweli?

Nimekaa pale 🐼
Kwa sababu Chadema miaka ya hivi karibuni wamekuwa Chama cha Wanaharakati sio Wanasiasa. Kuna tofauto kubwa baina ya kufanya upinzani wa Kisiasa na Upinzani wa uongozi wa rais aliyepo madarakani.
 
Back
Top Bottom