Kitakachotokea ni kwa airtel kuachia kiasi kadhaa cha hisa (btn 10% and 30%)ambazo zitaipa serikali share kubwa >50.Kumbuka serikali ina 40% share ktk airtel. So ikishapata hizo share serikali itakuwa na uwezo Wa maamuzi au inaweza kumlipa bhati airtel kiasi cha share kilichobaki na kuimiliki 100% airtel.This is my prediction.Nimekuwa na shauku ya kujua nini kitafanyika kuhusiana na jina la sasa la 'Airtel'..kwamba itakapotokea TTCL imeichukua kampuni hiyo, je, jina litaendelea kuwa lilelile au litabadilishwa? Ifahamike, jina la Airtel linatokea na lina asili ya India.
Je, wafanyakazi wanaotumikia idara ya huduma kwa wateja 'call center' ya Airtel na ambao wapo chini ya kampuni ya uwakala wa ajira (outsourcing company) inayoitwa ISON BPO, nao hatima yao itakuaje?---Keep in mind, wafanyakazi wote wa idara ya huduma kwa wateja wote wanaohudumia wateja wa Airtel hawana mkataba wa ajira na Airtel, bali wana mkataba na kampuni hiyo ya uwakala wa ajira, inayoitwa ISON BPO. Kadhalika ISON BPO asili yake ni India.
Naam huu ndo ukweli wa wazi wazi, sema utaitwa sio mzalendo.Hivi bado kuna Watz mnadanganywa na mzee wa kukurupuka? Hakuna lolote litakalofanyika... Airtel itabaki airtel na TTCL itabaji TTCL.... jifunzeni kwa issue ya makininia!!!!
Itaitwa mbowetel
uliza kiltex, mwatex utajua kitatokea niniSijui kama TTCL watafanikiwa katika hili, hebu ngoja tusubiri tuone...