Kuna msichana nikikutana nae maeneo flani katika mizunguko ya hapa na pale nikatokea kumpenda, ingawa sikumuweka wazi palepale ila nilifanikiwa kupata mawasiliano yake na yeye mwenyewe ndie alienipa.
Mwanzoni tulikua tu kama marafiki wa kawaida ila baada ya kupita kama wiki moja nikaona nimuweke wazi kwamba nahitaji kuwa nae kwenye mahusiano ya kimapenzi.
Baada ya kuwasilisha ombi langu kwake akaniuliza hujaoa? Nikamueleza ukweli kwamba sijaoa ndio maana nahitaji kuwa na wewe.
Baada ya kumuuliza anaonaje juu ya hili ombi langu akanambia yeye kwasasa anae mpenzi ila tunaweza tu kuwa marafiki wa kujuliana hali basi kutokana na jibu lake hilo nikaona sina sababu tena ya kumshawishi aachane na jamaa yake kwasababu yangu.
Sasa nikawa najiuliza wakati namtongoza kulikua na haja gani ya kuniuliza kama nimeoa au la ilhali anae mpenzi na angeweza tu kunijibu mojakwamoja kwamba haiwezekani sababu nina mpenzi.
Naomba mwenye uzoefu aniambie nini hasa lilikua lengo la yeye kuniuliza kama nimeoa au la wakati tayari ana mpenzi ingawa amenambia kwamba mpenzi wake haeleweki kama atamuoa au la.
Mwanzoni tulikua tu kama marafiki wa kawaida ila baada ya kupita kama wiki moja nikaona nimuweke wazi kwamba nahitaji kuwa nae kwenye mahusiano ya kimapenzi.
Baada ya kuwasilisha ombi langu kwake akaniuliza hujaoa? Nikamueleza ukweli kwamba sijaoa ndio maana nahitaji kuwa na wewe.
Baada ya kumuuliza anaonaje juu ya hili ombi langu akanambia yeye kwasasa anae mpenzi ila tunaweza tu kuwa marafiki wa kujuliana hali basi kutokana na jibu lake hilo nikaona sina sababu tena ya kumshawishi aachane na jamaa yake kwasababu yangu.
Sasa nikawa najiuliza wakati namtongoza kulikua na haja gani ya kuniuliza kama nimeoa au la ilhali anae mpenzi na angeweza tu kunijibu mojakwamoja kwamba haiwezekani sababu nina mpenzi.
Naomba mwenye uzoefu aniambie nini hasa lilikua lengo la yeye kuniuliza kama nimeoa au la wakati tayari ana mpenzi ingawa amenambia kwamba mpenzi wake haeleweki kama atamuoa au la.