Nini Faida ya u fake katika maisha?

Nini Faida ya u fake katika maisha?

Niliamua kufanya kimya kiroho safi lakini jamaa alivozidi kunikomalia na ujue kuna vitu vingi katikati vilitokea. Alivozidi kunikomalia hata kuelekea kumtafutia mwenzie talaka nikaona isiwe shida Acha nidhihirishe ukweli huu. Maana wakati wa mawasiliano yangu na mkewe pia alikuwa akimention uhusiano wangu na mumewe kuwa ni kichochezi. Alikuwa anasema mumewe anwasiliana sana na mwanamke huko bongo na anaomba sana huyo mwanamke ajue ukweli pasipo yeye kujua kuwa huyo mwanamke ni mimi. Nikamjuza jamaa aachane nami ili a Lee family yake hakunielewa.
Better apate mwanamke mwingine na sio mimi.
Amevunja ndoa yake mwenyewe ingawa anaweza kuokoa coz mkewe bado anampenda sana na mimi nikizidi kumkataa jamaa ndipo nairudisha hiyo ndoa though mkaka mlokole anaweza kuwa ana jini mahaba coz si bure uwe tayari kumwacha mkeo just because of mimi Aaahhh
Hukupaswa kuyapeleka kwenye ndoa yake... huo ni uchochezi...

Kwa ulokole wake labda alikuwa anapewa kwa vifungu vya mistari ya Injili...

Baada ya kukutana na wewe umeempa mpaka ambavyo hajakuomba... wewe ni mbaya sana.. kumpagawisha mume wa mwanamke mwenzio...
 
Mimi tena nimeisambaratisha? Ulitaka niendelee kudanganyika? Ni yeye mwenyewe ametaka kuvunja nami natumia jitihada kadhaa kurudisha. Yeye ndio anataka apewe talaka.

Mh...!! Wenzio wenye busara huwa wanaacha , wanaondoka zao wakijua wanachokifanya...!!!
But u...!!
Siko sure ukoje. Ila huoni una weekness kubwa kiasi gani. Alafu u are blinded by love kiasi cha kugeuka nyoka....!!!
Ivi imagine mtu ndo yuko na wewe sasa...! Atakuja kuwa juu kama obama kweli...!!!!??
 
Hukupaswa kuyapeleka kwenye ndoa yake... huo ni uchochezi...

Kwa ulokole wake labda alikuwa anapewa kwa vifungu vya mistari ya Injili...

Baada ya kukutana na wewe umeempa mpaka ambavyo hajakuomba... wewe ni mbaya sana.. kumpagawisha mume wa mwanamke mwenzio...
Mmhhh!
Naomba nitumie fursa hii kumuomba msamaha kwa kumshitakia kwa mkewe.
Lakini pia nimshihi asiendelee na azma ya kumuacha mkewe.
Mimi nilimpa pasipo kujua kuwa yuko na mke nilijua ni single tu
 
Mh...!! Wenzio wenye busara huwa wanaacha , wanaondoka zao wakijua wanachokifanya...!!!
But u...!!
Siko sure ukoje. Ila huoni una weekness kubwa kiasi gani. Alafu u are blinded by love kiasi cha kugeuka nyoka....!!!
Ivi imagine mtu ndo yuko na wewe sasa...! Atakuja kuwa juu kama obama kweli...!!!!??
Mmhhh!!!!
 
Dada wewe ndio mbaya kabisa umechangia kuharibu hiyo familia, Huyo jamaa anakuona uko free ndio maana , ungebeba mimba ya mwana mme mwingine angekuacha.
 
Mmhhh!
Naomba nitumie fursa hii kumuomba msamaha kwa kumshitakia kwa mkewe.
Lakini pia nimshihi asiendelee na azma ya kumuacha mkewe.
Mimi nilimpa pasipo kujua kuwa yuko na mke nilijua ni single tu
Yatakukuta na wewe... kheri uhisi jambo kuliko kulijua jambo... inauma sana... tena una wasiliana na mke wake kabisa... siku utakuja pigwa kipapai...
 
Dada wewe ndio mbaya kabisa umechangia kuharibu hiyo familia, Huyo jamaa anakuona uko free ndio maana , ungebeba mimba ya mwana mme mwingine angekuacha.
Aaaghh!
Kwani nyie wanaume hamuwezi kumuacha mwanamke hadi abebe mimba?
Kuwa free sasa ndio yeye amuache mkewe?
Alianza kumuacha mkewe kimya kimya Hata kabla sijamsemea.
Mimi nimemsababishiaje?
Kiufupi huyu jamaa yeye hajali mkewe aondoke au la. Unaelewa hilo.
 
Yatakukuta na wewe... kheri uhisi jambo kuliko kulijua jambo... inauma sana... tena una wasiliana na mke wake kabisa... siku utakuja pigwa kipapai...
Eeehh! !!
Alisema hana mke kumbe analala na kuamka nae.
Nikampa ukweli kuwa najua ana mke na nimepata mawasiliano yake ivo aniache niende zangu akawa haelewi pamoja na kuwa ana mdhalilisha mkewe halafu anarekodi kunitumia.
Mimi mwanamke pia yanini nishuhudie udhalilishaji na nikukalie kimya? Nina kipi cha ziada?
Why? Yamkini angesema mapema kuwa yuko nae ingekuwa uamuzi wangu kuendelea nae wakati ni mume wa mtu . lakini kutumia neno la Mungu daaahh
 
Eeehh! !!
Alisema hana mke kumbe analala na kuamka nae.
Nikampa ukweli kuwa najua ana mke na nimepata mawasiliano yake ivo aniache niende zangu akawa haelewi pamoja na kuwa ana mdhalilisha mkewe halafu anarekodi kunitumia.
Mimi mwanamke pia yanini nishuhudie udhalilishaji na nikukalie kimya? Nina kipi cha ziada?
Why? Yamkini angesema mapema kuwa yuko nae ingekuwa uamuzi wangu kuendelea nae wakati ni mume wa mtu . lakini kutumia neno la Mungu daaahh
Uko sahihi. Najua nilikuwa sikuridhishi. Ila imgekuwa ni Generali Galadudu au Gentamycin usinge wafanyia hivyo. Ungekula na kipofu. Lakini hiyo ni kimwili. Nimekuja kugundua Kiroho umefanya vema. Anyway najua kwa kuwa nilikubiki.. Nikija bongo nakushika tuu mkono. Sivunji ndoa tena.
 
Eeehh! !!
Alisema hana mke kumbe analala na kuamka nae.
Nikampa ukweli kuwa najua ana mke na nimepata mawasiliano yake ivo aniache niende zangu akawa haelewi pamoja na kuwa ana mdhalilisha mkewe halafu anarekodi kunitumia.
Mimi mwanamke pia yanini nishuhudie udhalilishaji na nikukalie kimya? Nina kipi cha ziada?
Why? Yamkini angesema mapema kuwa yuko nae ingekuwa uamuzi wangu kuendelea nae wakati ni mume wa mtu . lakini kutumia neno la Mungu daaahh
Ungeambiwa ukweli usingemkubali... hampendi kusikia ukweli hata siku moja..
 
Uko sahihi. Najua nilikuwa sikuridhishi. Ila imgekuwa ni Generali Galadudu au Gentamycin usinge wafanyia hivyo. Ungekula na kipofu. Lakini hiyo ni kimwili. Nimekuja kugundua Kiroho umefanya vema. Anyway najua kwa kuwa nilikubiki.. Nikija bongo nakushika tuu mkono. Sivunji ndoa tena.
Ukweli ni kwamba umekuwa mwanaume wa pekee sana kwangu na unajua nilivokukabidhi moyo. Kiufupi wewe uko vizuri sana ktk sekta lakini issue plan zetu haziwezi kuwa vile ilhali una mke unaemuacha kwakuwa umenipata mimi na mbaya zaidi hukunijuza mwanzo.
Nadhani inapendeza iendelee na mama watoto mie niache hadi nikijaaliwa tena.
 
Ungeambiwa ukweli usingemkubali... hampendi kusikia ukweli hata siku moja..
Kumbe nyie waongo lol.
Bora angesema nisingethubutu kumtafuta huyo mkewe lkn kuniongopea lol.
Eti daily babe nakumiss kumbe anasafisha bunduki ni mke mimi nabaki na ugwadu wangu namsubiria mchumba yuko masomoni Us nalea distant love nafarijiwa na picha lol
 
ID Yake Inaherufi 4... Mwisho wa jina lake ni S.... Halafu katikati karibu na mwanzo kuna a??? Ndo Huyo???
 
Kumbe nyie waongo lol.
Bora angesema nisingethubutu kumtafuta huyo mkewe lkn kuniongopea lol.
Eti daily babe nakumiss kumbe anasafisha bunduki ni mke mimi nabaki na ugwadu wangu namsubiria mchumba yuko masomoni Us nalea distant love nafarijiwa na picha lol
Hapa huyo uliyempata ndiyo muongo... mimi siyo muongo... na siyo wote waongo...

Mwanaume hua muongo kutokana na yule mwanamke aliyekuwa nae..

Si umesema pia ushawahi kumsafisha bunduki... sasa unalalamika nini...
 
Hapa huyo uliyempata ndiyo muongo... mimi siyo muongo... na siyo wote waongo...

Mwanaume hua muongo kutokana na yule mwanamke aliyekuwa nae..

Si umesema pia ushawahi kumsafisha bunduki... sasa unalalamika nini...
Aaahh! !
Ila huyu kaka yuko vizuri sana ktk kusafisha bunduki amejaaliwa but namuonea imani mkewe tu.
 
Back
Top Bottom