evansGREATDeal
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 4,013
- 2,335
ye anapinga haya anasema kuwa alikuwa anasolve kwa kumpigia mke wa mtumishi,..Watu wanaigiza tu lakini ukweli wanaujua,shida maadili yamepolomoka.huyu dada amekua na fikla zipi za kumpigia mke wa huyo jamaa kama kweli hamhitaji huyo bwana?coz alipojua shida ya huyo mtumishi kua anadanganya na ako na mke alipaswa kukaa kimya tu na kubrock mawasiliano nae,kweni angemlazimisha vipi?sa angalia,simu yake kwa mke wa huyo mtumishi imesababisha ndoa kuingia mgogoro,unadhani hyo dhambi haitajiludi kwake?lazima siku1 itakula kwake kama malipo hata kama huyo bwana nae alikua ni mdhambi,huyu mtoa mada pia ndo kainogesha dhambi mpaka kupelekea mke wa huyo bwana aliekua hana hili wala lile juu yao kuikimbia nyumba,hyo lazima imlipe hapa hapa duniani.mtoa mada ulipaswa kukaa kimya na kushika hamsini zako usonge mbele na wanaume wale unaokutana nao face to face mahali pa heshima,hao ndo wangekufaa,hapa umefanya makosa
hii kwa akili ya kawaida ni ngumu kuwaza kusolve tatizo bila kufikiri negativity na +vity ya solution unayowaza kufanya