Hakuna mtu anateyekataa awe huru kufanya yake, lakini sio mpaka ya kijinga, ya kipuuzi, yasiyo na maslahi kwa nchi na Watanzania.
Hawana faida kabisa kwa nchi yetu.Faida yao ni kuhakikisha wanaishi maisha mazuri, watoto wao wanapata kazi zenye high profile na hawaguswi, wao na familia zao kuishi maisha ya juu na yenye uhakika, na usalama wa uliopitiliza.
Hawako consistent kabisa, their afraiding their behind feet prints.Sasa mkuu wao (wastaafu) wanaanzia wapi kumshauri rais aliye madarakani aache huo "upuuzi" usio na maslahi kwa nchi??!.--- ushauri ambao hautaleta mpasuko.
Unakumbuka:- Umwambafai??🤣🤣
What their doing we can't believe our eyes unless we add another two eyes.Faida yao ni kuhakikisha wanaishi maisha mazuri, watoto wao wanapata kazi zenye high profile na hawaguswi, wao na familia zao kuishi maisha ya juu na yenye uhakika, na usalama wa uliopitiliza.
Husuda hiyo mjomba, watakucheka watu! Jamaa hakuna mfano wake mapinduzi aliyoyafanya kwa miaka 4 waliotangulia woote hawakuweza ndo maana leo wanajutia, unapokuwa Baba na unaruhusu watu wakushauri upuuzi na ukaukubali bora uamue mwenyewe ili mwisho uilaumu nafsi nafsi tu. Huwezi kunyosha nguo kwa pasi isiumie kwa joto lake, lakini mwisho wa siku itasifiwa kuwa imependeza. Vumilieni mpigwe randa.Uwe unasoma na kuelewa mada nani kasema wasipumzike? Mbona unakuwa slow learner namna hiyo Magufuri anaipeleka nchi katika uchumi wa kati au anaipeleka shimoni?
Sema wewe na familia yako usisemee wengine.Usiseme hatuna hela watanzania sema Sina hela.Wabunge wote wakiwemo wapiga Domo wa upinzani wanapokea mamiloni kwa mwezi Wana shida hizo unazosema?hayo masilahi ya nchi ni yapi kama wanachi wanalala njaa na kufa kwa kukosa elimu na huduma za afya? au masilahi ya taifa ni raisi kutembelea private jet ?
PanicSema wewe na familia yako usisemee wengine.Usiseme hatuna hela watanzania sema Sina hela.Wabunge wote wakiwemo wapiga Domo wa upinzani wanapokea mamiloni kwa mwezi Wana shida hizo unazosema?
Nenda mashule yote ya bei mbaya ya kimataifa watoto wa watanzania mamilioni wako huko wakitandika English french medium nk Nenda mihospitali ya Bei mbaya kacheki watanzania walivyofurika wakitibiwa
Kacheki ndege zinazoruka zilivyojaa watanzania waliojikatia tiketi wenyewe.
Sema huna hela,huna chakula huna hela za kujitibia usiseme watanzania hawana.Ongelea nafsi yako na malofa wa familia yako Na mkae chini mjiulize inakuwaje ukoo mzima mko malofa.Nyie wachawi Nini?
Siioni hiyo faida zaidi ya wao kunufaika.Hawana faida kabisa kwa nchi yetu.
wewe utakuwa richawi sana. tena bibi yako kakuachia zana km zoteJiwe atakuwa mstaafu wa kwanza wa miaka mitano