Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Yaani natumaini umeona jinsi wa Tanzania wanavyotia aibu kwa chuki na kuamua kupigia kura wasanii wa nchi zingine.
Tabu ilianza Kiba aliporudi alitumia maneno ya kuwa yee ni kingi na anataka kiti chake yaani kwa kuwa Diamond yupo juu yeye anataka kumpita.
Diamond hajawahi sikika akiongea mabaya au kutamka mabaya juu ya kiba au kitu chochote zaidi ya kusema kama watu wanataka kushindana nae yeye pia anapata kiki ya kufanya bidii zaidi na kutojisahau. Nadhani hii kitu hata yeye atakuwa anashangaa bidii ya alipofika inatakwa ishushwe na wananchi sababu amepata maendeleo mazuri kwa kujituma kufanya vizuri.
Kiba ibabidi abadilike, maana hata jana alikuwa mjini nilipo na mbwembwe sema wengi tulikuwa na harusi bomba hatukwenda bali walioenda walisema sio inavyokuwaga wa Tanzania wakianua kuhudhuria shughuli.
Inabidi aache kuchochea wananchi kutaka kushindana na Diamond sababu hana cha kuonyesha tangu ametudi.
Tuzo sawa ila akumbuke tuzo hazitoi pesa ya kuishi.
Inasikitisha sana tabia ya wanaoonea wivu Diamond kwa mafanikio hawataki afanikiwe zaidi.
Kiba una uwanja na hata siku moja hakuna msanii nwingine amekuingilia ila uwanjani ulipo wewe ni wewe na sio kwamba wengine ndio watakusaidia sema wakishuka hautapanda, Diamond yuko juu kubali shindana nar tuone mambo kuwa na wewe unataka kupaaa.
bila Kiba diamond asingekuwepo au angechelewa sana kutoka
unaijua historia ya hawa?
unajua kuwa kiba ndie aliyemtoa diamond na diamond alipoona ametoka akaanza dharau?
Kiba kihistoria huwezi ukamtupa kukua bongo flava unless kama umekua juzi
kuanzia nakshi nakshi..... cinderela....n.k
Diamond lazima aheshimu waliomtangulia na waliomsaidia kufika hapo
kiba alimrekodia nyimbo ake bure kabisa hapo awali na ndiye aliye mwambie asiimbe rap
hivi unawezaje ukamdharau mtu kama huyo?
kwa nafasi ya diamond alikuwa na uwezo wa kutojenga makundi na kuheshimu waliomtangulia
kazi anayo, ataenda mbali ila anguko lake litakuwa si la kawaida; usicheze na mtu/watu aliyekutengeneza
ashinde kuroga tu atawapata wengi sana