Pritty wa joseph
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,379
- 2,051
magharibi, magharibi! nani kakwambia? muulize msukuma maana ya "lusibo" na hiyo culture imeanza lini? its as old as sin itself...lakini nashangaa nini? kwa hilo vazi lako usingetamka neno magharibi ingekuwa the 8th World Wonder
mkuu elewa kuwa haya mambo wa africa hatukuwa nayo tumeletewa na ngozi nyeupe na ndio maana katika jamii yetu ni swala la aibu ikitokea mmoja ktk familia yupo hivyo
vazi langu limefanyaje?