Lazima tu achepuke asee ata umpe mahab kiac gan atatafuta tu lesbo
Ni ushenzi, mambo ya kuiga na kushikana akili,kukosa misingi thabiti yamaisha na unachokisimamia, kujichoka, kutojitambua, kukata tamaa ya maisha, na ujuaji mwingi ndo unasababisha
Wanawake mpo very complicated, juzi mwenzio kaja apa analalama jamaa yake anakimbiza lisaa unusu leo wewe unasema hatuwagusi vizuri yani fulu kutuchanganya
kwa hiyo unajustify kama humridhish bf au kama kakako hawi satisfied na gal wake basi aende kwa mijidume mienzake ikam....namaanisha ikamle kidoti? maana general conclusion ninayoiona hapa ni kuwa kama jinsia tofauti haikidhi basi kuwa homosexual, sio?Tatizo hamtugusi gusi vizuri.
magharibi, magharibi! nani kakwambia? muulize msukuma maana ya "lusibo" na hiyo culture imeanza lini? its as old as sin itself...lakini nashangaa nini? kwa hilo vazi lako usingetamka neno magharibi ingekuwa the 8th World WonderNimesoma boarding kuanzia primary 3 mpaka form 4tena ni girls tupu (phwezi girls) na hakukuwa na hayo mambopia kuhusu kuachwa achwa sana ndo kuna sababisha hayo sio kweli kwani kama kuachwa nimeachwa sana.
Kimtazamo wangu naamini hili swala la usagaji halijaanzia hapa hili swala tumeletewa na watu wa magharibi na waanzilishi ni wale wanaopinga maamrisho ya mungu nakwakuwa shetani rafikiye shetani ndo maaa vinapamba moto.
Satan is at work to destroy men; unfortunately men had failed to know the wiles of the devil and claim to have freedom to enjoy whatever they want and term it as 'human rights', democracy and freedom while forgetting that there is no freedom without limitation.
God created man with an inquisitive mind, but He also put in us self control. Pasipokuwa na kiasi, binanadamu hushindwa kujizuia.