Hospital....walikuwepo wadada wawili...kwakweli nilipenda coz walipendeza...
Binafsi nlitoboa masikio mashimo.matano kila sikio...ila matatu ndo yaliziba..
Unajuwa Wanawake tunapenda urembo Sana Sana Sana...hata hao wadada wanaoouuza nao wanapenda kuonekana viZuri kwa Ajili ya market..
But kusema Kwamba urembo Fulani ninkwa ajili ya watu Fulani tu...just because hao wameuvaa Sio POA..
Mfano, kutoboa pua..kunawatotoo wanatobolewa since wadogo...kuvaa vikuku...nao umekuwa ukahaba...kuvaa shanga...ukahaba...Kutoboa masikio ukahaba...kupaka mamekap...Napo shida..
Mwanamke Ni pambo na Ni viZuri akapendeza....SASA KWANINI mapambo yawe Ni kwa Ajili ya watu Fulani wengine wakivaa inakuwa shida....
Kweli Mimi navaa hijabu...nikitoboa masikio mashimo kumi....Wala lengo langu SI kuonekana kwa watu..mimi TU napenda...huo ukahaba unatoka wapi?