Nini chanzo cha hii kitu jamani?

Billie

JF-Expert Member
Aug 13, 2011
12,720
19,860
Hivi kwa nini mwanamke akitoka nje ya ndoa mara nyingi inakuwa ndo mwisho wa ndoa ila mwanaume akitoka nje ya ndoa(kusaliti) ugomvi unakuwa mdogo na ikiweze suluhisho hufanywa na ndoa inaendelea.Swali langu ni kuwa "kuna nini kimefichika hapa?"Haswa kwa ndoa zetu za kibongo.WASOMAJI NAOMBA MITAZAMO YENU KWENYE HILI
 
Ubinafsi na kutojiamini kwa wanaume.

Mke anafight kulinda ndoa,

Mume anafeel inferior na kimoyo moyo haishi kufikiria mwizi huenda ni bora kuliko yeye ktk faragha!

Ni opinion yangu tu!
 
Ubinafsi na kutojiamini kwa wanaume.

Mke anafight kulinda ndoa,

Mume anafeel inferior na kimoyo moyo haishi kufikiria mwizi huenda ni bora kuliko yeye ktk faragha!

Ni opinion yangu tu!

Si kweli kaka kwa hiyo unataka kusema confidence level ya men ni ndogo kuliko ya women?
 
Ubinafsi na kutojiamini kwa wanaume.

Mke anafight kulinda ndoa,

Mume anafeel inferior na kimoyo moyo haishi kufikiria mwizi huenda ni bora kuliko yeye ktk faragha!

Ni opinion yangu tu!

Ilikuwa inawezekana zamani.ndio maana misemo ya kitanda hakizai haramu ikawapo. wanawake walikuwa wanazaa nje ya ndoa inajulikana, na mwanaume kwa kuwa ana mapendo ya kweli na hataki kuleta aibu, anakuwa na uvumilivu hatimaye ndoa inanusurika. Ila these days sisi hatuna mapendo ya ukweli.tunasema kunya anakunya kuku,akinya bata kahaarisha, wabinafsi.akikutenda haikupi shida kumtema.No wonder these days hatushuhudii wanaume wakitwangana kisa mwanamke,sio kwamba wamestaarabika,ila hana sababu ya kupigana.mtu anakumegea sweetiee unayempenda kweli halafu hurushi ngumi hata moja kweli? au tumezidi uoga?
 
Ni kitu ambacho kimejengeka sana katika jamii zetu kwamba when it comes to mapenzi na mahusiano, mwanaume ni superior na mwanamke ni inferior! Ndo mana sio ajabu kwa baadhi ya jamii zetu, mwanaume mwenye wake wengi huonekana kuwa rijali ilihali mwanamke akiwa na mwanaume zaidi ya mmoja huonekana kuwa mtu asiyefaa katika jamii.
 
Toka enzi hizo, mwanaume iliwezekana kuoa zaidi ya mke m1, na wanawake walikubari hilo, hivyo basi japokuwa kwa sasa chembechembe hizo zinapungua, lakini bado inavumilika kwa mwanaume ku-simbachawene (kufumaniwa) kuliko mwanamke, wengine wanaande mbali wanawaponda kwa mawe.
 
Hivi kwa nini mwanamke akitoka nje ya ndoa mara nyingi inakuwa ndo mwisho wa ndoa ila mwanaume akitoka nje ya ndoa(kusaliti) ugomvi unakuwa mdogo na ikiweze suluhisho hufanywa na ndoa inaendelea.Swali langu ni kuwa "kuna nini kimefichika hapa?"Haswa kwa ndoa zetu za kibongo.WASOMAJI NAOMBA MITAZAMO YENU KWENYE HILI

Kwani Mwanaume huwa anakwenda chumba cha KUJIFUNGUA?

Sasa vinafananaje na topic yetu?

Kwani Swali lako umeulizaje hapo juu kwenye nyekundu?
 
Toka enzi hizo, mwanaume iliwezekana kuoa zaidi ya mke m1, na wanawake walikubari hilo, hivyo basi japokuwa kwa sasa chembechembe hizo zinapungua, lakini bado inavumilika kwa mwanaume ku-simbachawene (kufumaniwa) kuliko mwanamke, wengine wanaande mbali wanawaponda kwa mawe.

well said,hata mimi nilitaka kusema hivyo hivyo.
 
Ilikuwa inawezekana zamani.ndio maana misemo ya kitanda hakizai haramu ikawapo. wanawake walikuwa wanazaa nje ya ndoa inajulikana, na mwanaume kwa kuwa ana mapendo ya kweli na hataki kuleta aibu, anakuwa na uvumilivu hatimaye ndoa inanusurika. Ila these days sisi hatuna mapendo ya ukweli.tunasema kunya anakunya kuku,akinya bata kahaarisha, wabinafsi.akikutenda haikupi shida kumtema.No wonder these days hatushuhudii wanaume wakitwangana kisa mwanamke,sio kwamba wamestaarabika,ila hana sababu ya kupigana.mtu anakumegea sweetiee unayempenda kweli halafu hurushi ngumi hata moja kweli? au tumezidi uoga?

...labda ni misimamo tofauti kati ya wanaume wa miaka ile (Kitanda hakizai haramu) na hawa wa sasa ambao wanaamini kabisa kwamba kitanda kinaweza kuzaa haramu. Hata mie hili la kipenzi chako kuzengewa/kumegewa halafu humjii juu mbaya wako na badala yake kuanzisha varangati na yule anayekuhusu mume/mke silielewi kusema kweli, lakini binadamu tunatofautiana.



 
Last edited by a moderator:
Ni mfumo dume tu. Kwamba mwanaume ndo mambo yote. Utamaduni wetu wa kitanzania kama sio africa mwanaume anaruhusiwa kuwa na wananwake wengi lakini si mwanamke, ni mmoja tu.
 
uchoyo, ubinafsi,kutokujiamini na roho mbaya ya wanaume.........


Hapo kwenye roho mbaya hapo...mtakuja tu
 
mwanamme akichitiwa na mkewe, ana-upgrade smoo hausi to big hausi.

Na kwa kuwa yeye ndo big braza anaset rules of the house hamna kumzuia.
 
Back
Top Bottom