The coolest jw
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 655
- 1,030
Mke anaumwa tumbo ni mjamzito ameenda kituo cha afya na kuambiwa kuwa damu imeganda katika mirija ya uzazi. Je kuna dawa ya kuyeyusha hiyo damu?
Na pia je akitumia hiyo dawa mimba haiwezi kutoka?
Na pia je akitumia hiyo dawa mimba haiwezi kutoka?