gilbert gratian
New Member
- Mar 6, 2013
- 1
- 1
Katika jamii tumeshuhudia ndoa nyingi kuvunjika na akina mama kubwagiwa majukumu yote ya kuwalea watoto. Idadi ya akina baba wanaotekeleza familia zao inaongezeka siku hadi siku, aidha kwa kuanza familia nyingine ama kuenda kujitegemea na kukaa kama bachelazi wasio kuwa na majukumu ya kifamilia.
Wadau naombeni mawazo yenu, mnadhani tatizo hasa ni nini?
Wadau naombeni mawazo yenu, mnadhani tatizo hasa ni nini?