Dadyboy
Member
- Nov 18, 2013
- 16
- 8
Hivi ni nini chanzo ama sababu kuu ya mzazi kumchukia mtoto wake wa kuzaa kabisaa, Hasa mzazi wa kike unakuta anamchukia mtoto pasina sababu ya msingi akiulizwa hasemi sababu anabaki kusema hatikaa afanikiwe, na ikitokea mtoto huyo kapata tatizo ama kuuguliwa mtoto au kuibiwa kitu, mzazi huyo hufurahia na kusema na bado, na ikitokea mwanae anakesi na mtu mwingine mzazi husimama upande wa mtu baki hata km hajui source ya kesi ni kitu gani. Lkn awapo na mwanae huyo hujifanya kumpenda na kumtetea. Unahisi inaweza kuwa nini chanzo?