mzawahalisi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2010
- 752
- 237
Habari za asubuhi ndugu zangu watanzania. Tumekuwa walalamikaji tuu mda mwingi bila ta kutoa majibu ya matatizo yetu yanayo tukabil. Kwa lugha ya picha, tupo ndani ya gari tunasafiri. Ila limekwama kwenye matope. Na wenye jukkumu ya kuliendesha wamebakia kukanyaga mafuta tuu, gari inaslip tuu na kumaliza mafuta, tunachangishwa tena nauli na kunulia mafuta na kuwalipa posho za ziada hawa madereva ili hali Hatuendi popote. Sasa wewe kama mmoja wa abiria wa gari hili umefika wakati wakusema hapana, hatuwezi kesha hapa hapa kila siku. Tufanye hivi ili tutoke hapa kwenye matope tuendelee na safari.
Je wewe Ungepata nafasi ya kuendesha hili gari, ambalo ni Nchi yetu nzuri, ungefanyaje?
Ningetawala ............
Karibuni wadau kwa mitazamo yenu tofauti tofauti.
Je wewe Ungepata nafasi ya kuendesha hili gari, ambalo ni Nchi yetu nzuri, ungefanyaje?
Ningetawala ............
Karibuni wadau kwa mitazamo yenu tofauti tofauti.