Kuongoza kwa kutumia intimidation and fear ni kitu kilichopitwa na wakati. Hii ilishika chart enzi za kina Mobutu, banda na Mzee Kenyatta. Kiongozi anayefanya hivyo sasa hivi ni kama anafukuza kivuli chake. Anaweza kufanikiwa kwa kipindi kifupi lakini in a long run nchi inaweza kuingia kwenye fujo mbaya sana. Magufuli angeweza kuwa mmoja wa marais wazuri sana kama asingekuwa anasikiliza ujinga kama huu wa kwako!Huyo Huyo unaemjua...
Anaetoa matamko kila kukicha...
Nadhani utamjua siku akikuweka mikononi.
MAKONDAJiji la Dar es Salaam lina viongozi wa Serikali Kuu na viongozi wa Halmashauri (serikali ya mtaa). Viongozi wa serikali kuu huteuliwa na Rais na viongozi wa Halmashauri huchaguliwa na wananchi. Kwa kweli nimekuna kichwa lakini bado nimeshindwa kupata majibu sahihi kwa maswali yangu haya matatu kisheria, kiutaratibu, kikanuni, kiutamaduni na kiitifaki;
- Nani ni msemaji rasmi wa Jiji la Dar es Salaam.
- Nani ni mwakilishi rasmi wa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam
- Kama kuna mgeni ama wa ndani au nje anataka kufanya ziara rasmi kulitembelea Jiji la Dar es Salaam nani anastahili kuwa mwenyeji wake?
Kinondoni iko wapi we bwege
Wewe ni empty brain. Kauli yangu ile ilikuwa ya kupima hilo. Una bahati umepata mtu wa kukuelezea kidogo.Acha upuuzi wewe, tumia ubongo Wa nyuma, Rc anachaguliwa na Rais.Baada ya sisi kumchagua yeye, na ndiye mwakilishi wake mkoani.
Kwa nchi karibu zote ninazozifahamu zenye meya wa kuchaguliwa, viongozi wote ndani ya mji/jiji wako chini ya Meya na wanawajibika kwake.
Kwa kuongezea wakati Jiji la Dar es Salaam liko mikononi mwa Meya marehemu Kitwana Kondo, yeye ndiye alikuwa kila kitu kwa mambo yanayohusu jiji na wakazi wake.
Meya si kiongozi wa kuchaguliwa na wananchi, au lini umewahi kupiga kura ya kumchagua Meya ? Meya anachaguliwa na madiwani na wabunge wa jimbo husika na sio wananchi. Kama ilivyo kwa Spika anachaguliwa na wabunge na sio wananchi vivyo hivyo Meya anachaguliwa na madiwani na sio wananchi.kwa mtazamo wangu kiongozi au msemaji wa jiji la dar alipaswa kuwa kiongozi wa kuchaguliwa na si kiongozi wa kuteuliwa na rais kamwe. huku ni kuwadharau wananchi.