Ningependa kujulishwa bei ya hizi simu

utakuja

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
990
800
Habarini za mchana/asubuhi/usiku wakuu. Nilikuwa naomba kwa anayejua bei kamili ya hizi simu dukani au kashaziona kwenye pita pita zake hapa na pale, Angeni saidia kunitajia na pia hata duka alipoziona (especially kwa ya kwanza) maana nimezipenda mno alafu nimechoka simu yangu kwa sababu ya Memory yake ndogo na kutokuwa na Rom za Jellybean (CM10)..




1. HUAWEI Y300 -Huawei Ascend Y300 - Full phone specifications Hii ndio nimeipenda mno.


2. SAMSUNG GALAXY YOUNG S6312 -Samsung Galaxy Young S6310 - Full phone specifications ..Hii ni second option yangu.


Ntashukuru sana msaada wenu.
 
Habarini za mchana/asubuhi/usiku wakuu. Nilikuwa naomba kwa anayejua bei kamili ya hizi simu dukani au kashaziona kwenye pita pita zake hapa na pale, Angeni saidia kunitajia na pia hata duka alipoziona (especially kwa ya kwanza) maana nimezipenda mno alafu nimechoka simu yangu kwa sababu ya Memory yake ndogo na kutokuwa na Rom za Jellybean (CM10)..




1. HUAWEI Y300 -Huawei Ascend Y300 - Full phone specifications Hii ndio nimeipenda mno.


2. SAMSUNG GALAXY YOUNG S6312 -Samsung Galaxy Young S6310 - Full phone specifications ..Hii ni second option yangu.


Ntashukuru sana msaada wenu.

Hiyo samsung ningekushaur hata mim!! Moro mpaka 230,000 unapata..
 
Habarini za mchana/asubuhi/usiku wakuu. Nilikuwa naomba kwa anayejua bei kamili ya hizi simu dukani au kashaziona kwenye pita pita zake hapa na pale, Angeni saidia kunitajia na pia hata duka alipoziona (especially kwa ya kwanza) maana nimezipenda mno alafu nimechoka simu yangu kwa sababu ya Memory yake ndogo na kutokuwa na Rom za Jellybean (CM10)..




1. HUAWEI Y300 -Huawei Ascend Y300 - Full phone specifications Hii ndio nimeipenda mno.


2. SAMSUNG GALAXY YOUNG S6312 -Samsung Galaxy Young S6310 - Full phone specifications ..Hii ni second option yangu.


Ntashukuru sana msaada wenu.

Huawei ipo cool zaidi bro
 
Hiyo samsung ukiangalia comment zake net wengi wanaiponda sana.. Jifunze kuangalia comment za waliowaho kuitumia nadhani itakusaidia sana kufanya maamuzi yaliyosahihi.
 
Hiyo samsung ukiangalia comment zake net wengi wanaiponda sana.. Jifunze kuangalia comment za waliowaho kuitumia nadhani itakusaidia sana kufanya maamuzi yaliyosahihi.

Mkuu naona malalamiko mengi yanakuwepo kwa simu hiyo ikiwa ina stock rom ya Samsung lakini na believe ukiweka kitu kama Cyanogenmod inakuwa ya ukweli

lakini hiyo simu ni second option only nikikosa hiyo Huawei maana ina dual core, front camera na screen Kali
 
mkuu kwa smartphone wengi tunapendelea application kwa sababu zote zina run android 4.1 basi nakushauri uchukue samsung kwa sababu ya ukubwa wa ram 768 wakti huawei ni 512 ram hizi zenye ram ndogo mara nyingi huwa zinstack ila kama ni mpenzi wa kupiga picha mara kwa mara basi bora uchukue huawei coz in mp 5 wakati samsung ni 3.15
 
mkuu kwa smartphone wengi tunapendelea application kwa sababu zote zina run android 4.1 basi nakushauri uchukue samsung kwa sababu ya ukubwa wa ram 768 wakti huawei ni 512 ram hizi zenye ram ndogo mara nyingi huwa zinstack ila kama ni mpenzi wa kupiga picha mara kwa mara basi bora uchukue huawei coz in mp 5 wakati samsung ni 3.15

Camera ya 5mpx + flash ni bonge la plus kwenye huawei ndio kilicho nivutia
Ram naeza ongeza kwa kutumia Ramexpander
 
Camera ya 5mpx + flash ni bonge la plus kwenye huawei ndio kilicho nivutia
Ram naeza ongeza kwa kutumia Ramexpander
hvi kumbe ram unaeza ongeza mi najuaga za comuter tu ndio zinazoongezeka.ila bora nimeongeza kitu
 
Habarini za mchana/asubuhi/usiku wakuu. Nilikuwa naomba kwa anayejua bei kamili ya hizi simu dukani au kashaziona kwenye pita pita zake hapa na pale, Angeni saidia kunitajia na pia hata duka alipoziona (especially kwa ya kwanza) maana nimezipenda mno alafu nimechoka simu yangu kwa sababu ya Memory yake ndogo na kutokuwa na Rom za Jellybean (CM10)..




1. HUAWEI Y300 -Huawei Ascend Y300 - Full phone specifications Hii ndio nimeipenda mno.


2. SAMSUNG GALAXY YOUNG S6312 -Samsung Galaxy Young S6310 - Full phone specifications ..Hii ni second option yangu.


Ntashukuru sana msaada wenu.

Godfrey Electronics Unaitwa huku.
 
Last edited by a moderator:
hawa tigo watakuwa wehu yaani iphone 4s uuze i.4 m je i phone 5 watauzaje??
Iyo kwenye site yao wameilist bei ya gari dogo zuri hata mimi sikuamini 2,000,000 tshs..Kwa hii bei unanunua kiwanja, au inaeza kuwa mtaji wa biashara ndogo au unanunua Galaxy S4+ laptop moja matata yenye core i3


Na pia mkuu ukiwa una simu ya android ambayo ni rooted unaweza download hii app https://play.google.com/store/apps/details?id=com.swapit.expander.de&hl=en ambayo ita use kiasi flani unacho penda wewe cha SD card na kutengeneza swap file ambalo litatumika kama Ram ya simu. Naitumiaga nikiwa natumia apps amabzo zinaitaji Ram nyingi kwa mfano magame kwenye simu yangu.
 
Iyo kwenye site yao wameilist bei ya gari dogo zuri hata mimi sikuamini 2,000,000 tshs..Kwa hii bei unanunua kiwanja, au inaeza kuwa mtaji wa biashara ndogo au unanunua Galaxy S4+ laptop moja matata yenye core i3


Na pia mkuu ukiwa una simu ya android ambayo ni rooted unaweza download hii app https://play.google.com/store/apps/details?id=com.swapit.expander.de&hl=en ambayo ita use kiasi flani unacho penda wewe cha SD card na kutengeneza swap file ambalo litatumika kama Ram ya simu. Naitumiaga nikiwa natumia apps amabzo zinaitaji Ram nyingi kwa mfano magame kwenye simu yangu.
naogopa kuroot naoogpa kukosa access na PLAYSTORE,si unajua ile nndiommpnago mzima,ingawaje najua kjuna nnjia nyingine za kudoownload apps baada ya kur oot ila for the time being bado sijashawishika
 
naogopa kuroot naoogpa kukosa access na PLAYSTORE,si unajua ile nndiommpnago mzima,ingawaje najua kjuna nnjia nyingine za kudoownload apps baada ya kur oot ila for the time being bado sijashawishika

Rooting aikukoseshi access na playstore .Kwa experience yangu fupi na android ya miaka 3 kila simu yangu nimeroot lakini playstore na download na ku update apps bila shida
 
Rooting aikukoseshi access na playstore .Kwa experience yangu fupi na android ya miaka 3 kila simu yangu nimeroot lakini playstore na download na ku update apps bila shida
OK poa nikihitaji kufanya hivyo nitakuconsult.
 
Camera ya 5mpx + flash ni bonge la plus kwenye huawei ndio kilicho nivutia
Ram naeza ongeza kwa kutumia Ramexpander

mkuu utakuja hiyo huawei inapatkana ktk maduka ya tigo kwa sh 195000 na please naomba nisaidie maujanja ya kuongeza hiyo ram
 
Last edited by a moderator:
mkuu utakuja hiyo huawei inapatkana ktk maduka ya tigo kwa sh 195000 na please naomba nisaidie maujanja ya kuongeza hiyo ram
Ahsante kwa information mkuu ..

Ukitaka kuongeza Ram kwenye simu kwanza install app hii kutoka link hii --------> Zippyshare.com

Then ukishainstall mwenyewe utaona ilivyo rahisi kuitumia utachagua tu kiasi cha ram unachokipenda..ita tengeneza .swap file lenye ukubwa huo kwenye memory card utayo tumiika kama ram ya simu ..kama mimi natumiaga 512mb ili nicheze games for example Shadowgun, deadtrigger,Need for speed Mostwanted n.k bila lag lakini inaweza kuruhusi uongeze ram hadi 1gb(sikushauri lakini)

Onyo: Usiitumia kila mda only pale unapoitaji extra ram maana ina decrease maisha ya SDCARD yako
 
Back
Top Bottom