Ningepata Division One NINGEROGWA!!

Karibu greenland colledge hapa kariakoo kwa ajili ya Hotel Management na komputa, french, inglish na spanish bure. Tunapokea hata wasiojua kusoma, majaribio utaenda Znz na kuna uhakika wa kazi.
 
Hebu nikumbushe Mwanaasha ni nani?

Umemthahau mara hii?!! si mtoto w mzee wa magogoni aliyetaga juzi kwnye matokeo fom4, halafu nahisi yy ndio aliyeandika ile mistari y bongo fleva.
MAPROSOO.
 
jamani hajataga
sio mtetea yule
katoa maziwa nusu lita
ila ya mgando

Umemthahau mara hii?!! si mtoto w mzee wa magogoni aliyetaga juzi kwnye matokeo fom4, halafu nahisi yy ndio aliyeandika ile mistari y bongo fleva.
MAPROSOO.
 
Karibu greenland colledge hapa kariakoo kwa ajili ya Hotel Management na komputa, french, inglish na spanish bure. Tunapokea hata wasiojua kusoma, majaribio utaenda Znz na kuna uhakika wa kazi.

yeye anataka chuo cha mlimani..
 
Karibu greenland colledge hapa kariakoo kwa ajili ya Hotel Management na komputa, french, inglish na spanish bure. Tunapokea hata wasiojua kusoma, majaribio utaenda Znz na kuna uhakika wa kazi.

hahaaa tourism and tour guiding vp ipo hapo? Hv vyuo bwana huwa vnankosha sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom