Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Ha ha ha aaah!! Hii nimeipata jana baada ya binamu yangu kule Kavifuti kuniomba nimtazamie matokeo yake ya kidato cha nne mtandaoni. Nilimpa matokeo yake lakini nilimsikia akipumua kama mtu aliyetua mzigo mzito ingawa alipata division FOUR. Nilipomuuliza unayaonaje matokeo akasema ni mazuri kwa kuwa angepata division one angerogwa.