Ningekuwa Waziri wa Uchukuzi, ningefanya haya

Magita

JF-Expert Member
Aug 23, 2013
319
144
Ili kuzuia msongamano wa malori makubwa kwa hapa Dar, ningejenga Bandari kavu pale maeneo ta Ruvu/Vigwaza ili kuzuia malori yote yanayokuja Dar kutoka nchi jirani na mikoani kuja kuchukua mizigo yao Bandarini wataishia pale kwa maana hiyo kwa vile kuna hii reli ya kutoka Dar kwenda Moshi kupitia Ruvu tungeitumia kusafirishia hii mizigo, kuliko kubanana ktk hizi yards tunazoziona kama vile SDV(Bollure), Azam Cargo nk
 
Ili kuzuia msongamano wa malori makubwa kwa hapa Dar, ningejenga Bandari kavu pale maeneo ta Ruvu/Vigwaza ili kuzuia malori yote yanayokuja Dar kutoka nchi jirani na mikoani kuja kuchukua mizigo yao Bandarini wataishia pale kwa maana hiyo kwa vile kuna hii reli ya kutoka Dar kwenda Moshi kupitia Ruvu tungeitumia kusafirishia hii mizigo, kuliko kubanana ktk hizi yards tunazoziona kama vile SDV(Bollure),Azam Cargo nk

Ndio umemaliza.....!
 
iyo kitu amezungumza magufuli juzi kati wakati akikagua mzani mpya wa vigwaza. wazo zuri
 
ningeboresha public transport ili niondoe msongamano wa magari katikati ya jiji...ningeweka congestion charge katikati ya jiji...kuingia jijini katikati tshs 10,000 kila unapoingia......ningeshauri serikali inunue kivuko kitakachohudumia kutoka maeneo yote ya bagamoyo ,tegeta na mbezi beach kuleta watu katikati ya jiji....ningepiga marufuku magari yote yaliozidi umri wa miaka 10 kuingizwa nchini....
 
ningeboresha public transport ili niondoe msongamano wa magari katikati ya jiji...ningeweka congestion charge katikati ya jiji...kuingia jijini katikati tshs 10,000 kila unapoingia......ningeshauri serikali inunue kivuko kitakachohudumia kutoka maeneo yote ya bagamoyo ,tegeta na mbezi beach kuleta watu katikati ya jiji....ningepiga marufuku magari yote yaliozidi umri wa miaka 10 kuingizwa nchini....

Ama kweli wewe ni mauza uza.. Msongamano wa magari unasababishwa na umri wa magari ?!
 
ndio umri wa magari unasababisha msongamano ..magari mabovu yanaharibika barabarani na vibarabara vya bongo vyembamba havina hata service road au hata hard shoulder...mfano wa morogoro road kigari kikiharibika na hio barabara ya strabag bi shiiida....nimeliona hilo kwa macho yangu....magari mabovu bongo ni tatizo kubwa na linaleta misongamano isiyo na kichwa wala miguu.....sikulaumu ni shule yako ndogo ...shule za kata nalo ni tatizo.,,watu kama ww.
 
Back
Top Bottom