Mahali alipofikishwa Lowassa ni sawa na mahali walipo arsenal. hawana nafasi ya ubingwa wakicheza hawana na kupoteza. Lowassa hana cha kupoteza. wameshamzika kisiasa na hana nafasi tena ccm. ingekuwa mimi ningezungumza na waandishi nitoe siri zote na mabaya yote ya serikali. ccm nzima imeoza na kuchukua watu watatu kama ndio mafisadi si haki. kuna uwezekano wa lowassa kusimama tena kama akifuata ushauri wangu