Ninayo program ya kutuma sms kama ile ya Marando

Ninayo program ya kutuma sms kama ile ya Marando

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,915
Reaction score
30,027
wana jf nimeshangaa kusikia eti mtu kaenda mpaka Israel kutafuta limtambo la kuandika sms zile akina Lameck madelu mkumbo(Mwigulu Nchemba) wakati mm ninayo toka mwaka juzi just kaprogram tu tena kanatumia bluetooth, ni ajabu hata intelijensia makini ya kina marando aliyeshiriki kumwinda akina kapten kajaja na akina tamim enzi zile za mapinduzi ya tanganyika, kwa yeyote anayeitaka adownload kupitia http://k508i.wz.cz na hii ni maalum sana kwa wale wenye nokia na ina uwezo wa kutumia simu ya mwingine kutuma msg, kupiga, kuiba salio, na mengineyo mengi sana ninayo nyingine ambayo ina uwezo wa kupata pasword zoote kwenye simu ya mwingine. mbona haya mambo ni rahisi sana ha ha ha ha magamba mmekwisha kwa teknolojia rahisi mliyoileta. haya ndo maelezo yao


To change language open 'nastavenia' -> 'jazyk' select 'english' and press 'späť'.

Program for controlling and reading information from remote phone via bluetooth or infra. Phone List and SMS can be stored in html format.

The latest version features the following functions:
  • Informations: display informations about battery, network, sim card
  • Ringing: playing sounds of incoming call, alarm clock...
  • Calls: dialing number, ending a call..
  • Language: change language in phone
  • Keys, Pressed keys: pressing and watching pressed keys
  • Contacts
  • Reading SMS
  • Silent mode: turning on or off
  • Phone functionality: turning off the network / phone
  • Hlasitosť zvonenia
  • Alarms:
  • Clock: change date and time
  • Phone locks
  • Clip, Clir
  • Change network operator
  • Java: start, delete java applications
  • Media Player
  • Text
  • SE applications
  • Calendar
  • Keys sound
  • Temperature:
  • Paired devices:
  • Volume
  • Memory status:
  • Radio icon
  • Keylock
ijaribu then utagundua ni rahisi kufanya yale ya marando bila kuleta limtambo
 
Wapelekee magamba hiyo program ili waboreshe ufanisi wa kazi waliyoianza..2015 ni chali tu hakuna pa kutokea, Mfa maji......................
 
kwa vyovyote vile ushahidi wa kutumia msg ni DHAIFU sana... MWIGULU ni kilaza alilopoka tu
 
wana jf nimeshangaa kusikia eti mtu kaenda mpaka Israel kutafuta limtambo la kuandika sms zile akina Lameck madelu mkumbo(Mwigulu Nchemba) wakati mm ninayo toka mwaka juzi just kaprogram tu tena kanatumia bluetooth, ni ajabu hata intelijensia makini ya kina marando aliyeshiriki kumwinda akina kapten kajaja na akina tamim enzi zile za mapinduzi ya tanganyika, kwa yeyote anayeitaka adownload kupitia JAVA LINKS :: ...

Kweli jf ni zaidi ya chuo kikuu hongera kutujuza hata mimi nilkuwa kapuni ngoja niitafute je, ni nokia zote hata za kichina?
 
Pengine wakubwa wa Nchemba walienda Israel kwa sababu ya 'myth' kuwa huko ndiko kuna intelligensia ya juu. Kumbe wamenunua kitu ambacho kiko hata hapo Karikaoo kwetu!
 
Haya mambo ya kupandikiziana msg za chuki ni ya aibu sana. Sasa ona wanavyovuliwa nguo adharani.
 
Ngoja nitaiangalia badae hii kitu....ila nahisi it works good..!!
 
Program yako inawezakuwa inafanya kazi lakini kwa kifupi ni kuwa imepitwa na wakati. Watu wengi siku hizi hawatumii simu zenye OS ya Java, sikuhizi tunatumia Android, iOS na Windows Mobile. Program yako ina uwezo wa ku deal na only Java based Mobile Phones kwahiyo usiwabeze wanaenda Israel kununua hiyo mitambo. Ever heard of EKSP1210? Google that....
 
Program yako inawezakuwa inafanya kazi lakini kwa kifupi ni kuwa imepitwa na wakati. Watu wengi siku hizi hawatumii simu zenye OS ya Java, sikuhizi tunatumia Android, iOS na Windows Mobile. Program yako ina uwezo wa ku deal na only Java based Mobile Phones kwahiyo usiwabeze wanaenda Israel kununua hiyo mitambo. Ever heard of EKSP1210? Google that....

yeah ni sawa inakawa imepitwa na wakati lakn nilichotaka ni kuwaonyesha hawa magamba kuwa hcho walichofanya ni mchumba tu kwa Tanzania ya sasa
 
Ngoja nitaiangalia badae hii kitu....ila nahisi it works good..!!

yeah inafanya kazi ila ukisha zama katika website yao kuna choice nyingi ya aina ya simu na zipo za aina nyingi kaka hyo hapo chini ya EKSP1210 kidogo ni latest
 
yeah inafanya kazi ila ukisha zama katika website yao kuna choice nyingi ya aina ya simu na zipo za aina nyingi kaka hyo hapo chini ya EKSP1210 kidogo ni latest
Duh,
Nakukubali kaka,

Ndo naamini sasa hata zile meseji zilizokua zikiwachafua wapinzani zikaonekana kama zilitoka nchi za nje kumbe zilitoka Lumumba tu.
 
Pengine wakubwa wa Nchemba walienda Israel kwa sababu ya 'myth' kuwa huko ndiko kuna intelligensia ya juu. Kumbe wamenunua kitu ambacho kiko hata hapo Karikaoo kwetu!

Majinga ndiyo yaliwayo siku zote. Walikwepa Kariakoo wakifahamu wazi kuwa itakuwa rahisi kugundulika, hayafahamu kuwa ulimwengu siku hizi ni kama kijiji vile. Nayaonea huruma alafu ghafla zinanijia hasira za kutisha.
 
wana jf nimeshangaa kusikia eti mtu kaenda mpaka Israel kutafuta limtambo la kuandika sms zile akina Lameck madelu mkumbo(Mwigulu Nchemba) wakati mm ninayo toka mwaka juzi just kaprogram tu tena kanatumia bluetooth, ni ajabu hata intelijensia makini ya kina marando aliyeshiriki kumwinda akina kapten kajaja na akina tamim enzi zile za mapinduzi ya tanganyika, kwa yeyote anayeitaka adownload kupitia JAVA LINKS :: na hii ni maalum sana kwa wale wenye nokia na ina uwezo wa kutumia simu ya mwingine kutuma msg, kupiga, kuiba salio, na mengineyo mengi sana ninayo nyingine ambayo ina uwezo wa kupata pasword zoote kwenye simu ya mwingine. mbona haya mambo ni rahisi sana ha ha ha ha magamba mmekwisha kwa teknolojia rahisi mliyoileta. haya ndo maelezo yao


To change language open 'nastavenia' -> 'jazyk' select 'english' and press 'späť'.

Program for controlling and reading information from remote phone via bluetooth or infra. Phone List and SMS can be stored in html format.

The latest version features the following functions:
  • Informations: display informations about battery, network, sim card
  • Ringing: playing sounds of incoming call, alarm clock...
  • Calls: dialing number, ending a call..
  • Language: change language in phone
  • Keys, Pressed keys: pressing and watching pressed keys
  • Contacts
  • Reading SMS
  • Silent mode: turning on or off
  • Phone functionality: turning off the network / phone
  • Hlasitosť zvonenia
  • Alarms:
  • Clock: change date and time
  • Phone locks
  • Clip, Clir
  • Change network operator
  • Java: start, delete java applications
  • Media Player
  • Text
  • SE applications
  • Calendar
  • Keys sound
  • Temperature:
  • Paired devices:
  • Volume
  • Memory status:
  • Radio icon
  • Keylock
ijaribu then utagundua ni rahisi kufanya yale ya marando bila kuleta limtambo

Sasa kama ni bluetooth, si kila mwenye simu lazima awe ameungaisha/active bluetooth yake. Huweai kuaccess simu ya mtu kama hajaiweka kwenye bluetooth. Ndo maana mimi huwa nahakikisha bluetooth na infared ziko off muda mwingi hasa unapokuwa kwenye mikusanyiko ya watu.
 
Back
Top Bottom