Valentine Yusuph
Member
- May 5, 2019
- 16
- 15
- Thread starter
- #41
Nimeanza kuhisi hivoMademu bana apo ukute anakubania ww alafu kuna muhuni akimuita akifika anapanua mwenyew
Nimeanza kuhisi hivoMademu bana apo ukute anakubania ww alafu kuna muhuni akimuita akifika anapanua mwenyew
50000+Kala kama shilingi ngapi?
Mtumishi hewa huyo tumia ubazazi au piga chini

Asante, nimekuelewa sana...naahidi kuutumia ushauri wakoMuulize kinagaubaga kama ni bikra, kama ndio vumilia hadi ndoa ila kama ishatolewa achana nae maana anaweza kukuona zoba kwako anakunyima na full kuhudumia ila kuna chalii anajilia tena bure na mara kwa mara baada ya ndoa unapewa mzigo utam wote umeisha yamebaki makombo tu na mahandaki
Nina nia nayeyeKuwa na mpenzi kabla siyo sababu ya yeye kuwa amelala nae!
Halafu kuna wanaume wakitajiwa tu bikra inakuwa kero.... Mvumilie we si unataka mke au unapita tu...???
50000+
Peleka Mahali, anajua unataka umchakachue weee then umwambie wewe sio type yake.Wadau wa JF, nimetokea kumpenda msichana mmoja ambaye nasoma naye chuo. Nilishamwelezea hisia zangu juu yake akanielewa na kukubali tuanzishe mapenzi, ilikuwa 2017. Mpaka leo bado nawasiliana naye lakini sipati kitu, nikimuita kwangu anakuja lakini hataki hata nimguse, nikimuomba anasema nikatoe mahari kwanza. Sio kwamba hajawahi kufanya mapenzi (alinambia alishawahi kupendana na mtu wakaachana baada ya yeye kuja chuo 2016). Nimeanza kupoteza hisia kwake. Nifanyeje?
Wahivo wachache SanaHuyo dada akanywe soda kwa mangi