Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,999
- 27,975
AiseehWe acha ujinga
Anzisha thread yako kisha upost Tangazo
Acha kutembelea nyuz za watu

AiseehWe acha ujinga
Anzisha thread yako kisha upost Tangazo
Acha kutembelea nyuz za watu

Hakuna ajabu boss, just curiosity.....Hmmh aiseeh waTz ni watu waajabu sana, kwahiyo ulitaka apige ndani ya duka lake ili uamini kuwa ni lake? Okay, hata kama sio lake kwanini usifuate idea anayotoa?
Karibu leo mwenye duka kafungua getiHakuna ajabu boss,just curiosity.....
Aisee nimelipenda ulivoli designKaribu leo mwenye duka kafungua getiView attachment 2283981
Aisee alikukataza usiingie ndani?Karibu leo mwenye duka kafungua getiView attachment 2283981
Hakuna biashara isiolipa ndio maana kila biashara unayoifikiria kuna mtu anaifanya... Kikubwa location tuNina passion kubwa ya kuwa mfanyabiashara japo naogopa kuangukia kichwa
Mm nafanya.....hyo budget yako ni ndogo kwa kile unachotaka kuwa nacho na tena uuze jumla na rejareja...Na hela ya kupangisha ipo ndani ya hicho kiwango ulichokitaja?
Huwez kuanguka kaka .km kweli unania ya dhati kabisaNina passion kubwa ya kuwa mfanyabiashara japo naogopa kuangukia kichwa
Atleast awe na sh ngapMm nafanya.....hyo budget yako ni ndogo kwa kile unachotaka kuwa nacho na tena uuze jumla na rejareja...
Hizo Vant huwa zinapona kweli? Mlevi mwenzanguKaribu leo mwenye duka kafungua getiView attachment 2283981