Ninawapenzi wanne wote wanahitaji niwaoe

Ninawapenzi wanne wote wanahitaji niwaoe

Alokwambia kila mtu anapaswa aoe nani? Ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu, hii ya kila mvaa suruali kujiona anapaswa kuoa ndio mnatuletea matatizo kwenye jamii.
 
Habari za leo ndugu zangu,

Katika maisha tunapitia mengi sana lakini yapo mengine ni magumu mno kuyafanyia maamuzi.

Katika pitapita zangu na kuzunguka mikoa mbalimbali bahati mbaya nilijikuta nawazimikia wanawake wanne katika vipindi tofauti.

Mbaya zaidi wote wananipenda pia na wote wanasifa zile nazozihitaji.

Sasa muda wangu wa kuoa umefika. Nahitaji kuoa. Lakini cha ajabu kufanya maamuzi imekua ni ngumu sana. Na nzuri zaidi wote hawajuani

Jamani nipeni mbinu nifanyaje ili nichukue maamuzi chanya.Namimi huwa siachi mwanamke kabisa, nina huruma ile mbaya.

Tupe sifa za mmoja mmoja picha uctume wasije wakawa wanafanana na madem zetu humu ili tuje sasa kukupa ushauri nasaha na matibabu ya tatzo lako la huruma
 
Alokwambia kila mtu anapaswa aoe nani? Ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu, hii ya kila mvaa suruali kujiona anapaswa kuoa ndio mnatuletea matatizo kwenye jamii.
Hahaaaa mkuu kuoa ni kazi sana
 
Nimeshaweka sifa zote pale juu mkuu

Apo kwa upande Wang naona umli wako na maamuzi juu ya hili swala haviendani mi nkushauri kitu tafuta pesa ndoa skuizi ndoano

Iko ivi zamani ilikuwa unatupa n doano majini kisha unavua samaki lakin siku izi mambo yamerahisishwa sana yaani unavua samaki kisha unatupa n doano majini

Nazani tumeelewana sawaaa
 
Apo kwa upande Wang naona umli wako na maamuzi juu ya hili swala haviendani mi nkushauri kitu tafuta pesa ndoa skuizi ndoano

Iko ivi zamani ilikuwa unatupa n doano majini kisha unavua samaki lakin siku izi mambo yamerahisishwa sana yaani unavua samaki kisha unatupa n doano majini

Nazani tumeelewana sawaaa
Sawa sawa mkuu, shukrani sana.
 
Hivi Mwl.Nyerere alisema nini katika maadui wa taifa hili? Naona kama kuna moja mtoa mada analo.
 
Back
Top Bottom