Ninavyowakumbuka marehemu Dr. Judith Kahama na Dr Mehark Massi.
Madaktari hawa wote ni marehemu DR. Judith Kahama alifariki terehe 6 Julay wakati Dr.Meshark Massi amefariki jana usiku katika hospital ya mhimbili.
Ninawalilia sana maana ninawafahamu kwa karibu sana,
Dr. Judith Kahama:
Binti wa waziri wa mwanzo wakati wa uhuru Sir. George Kahama, alikuwa jeshini Makutupora mwaka 1980-1981 operation Tija chini Mkuu wa kikosi Lt.col Edimund Mjengwa na optio Major. Lyanga. Inasemekana marehemu aliondoka na mkuu wa kikosi Lt.col Mjengwa kwenda Kigoma kwenye sikukuu ya wakulima kitaifa iliyofanyika huko na waliondoka kwa ndege inaelekea Marehemu alikuwa na uhusiano mzuri na mkuu wa kikosi huyo, mkuu wake wa mafunzo Major LYANGA alimind kitu hicho, unajua alichokifanya aliitisha rollcall ya kikosi kizima mishale ya saa 2 usiku rollcall yenyewe ilikuwa ya kichwa hadi kichwa na ikabainika kuruta Judith Hakuwepo kwa maana ingine ilikamatwa redhanded hayupo, basi kesho yake kweye daily order ikasomeka Judith ni mtoro na hatamaliza jeshi ataendelea kwa wiki mbili zaidi, Col Mjengwa aliporudi nae kwenye daily order akaiquash hiyo adhabu nakumbuka aliandika hivi nanukuu "Kulingana na judhuu mimi mkuu wa kikosi nina uwezo ninaifuta adhabu ya kuruta wote walioamriwa wasimalize jeshi na kwamba wamalize pamoja na wenzao".
Wakati tif ya mkuu wa kikosi na optio wake ikifanyika jeshini Makutupora Dodoma nako kulikuwa na tif jingine kati ya baba wa marehemu Judith Sr. George Kahama na mbunge wa Dodoma mjini Padri Severino Supa nao pale Dodoma palikuwa hapatoshi ikumbukwe Sir George Kahama alikuwa ndiye Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya usitawishaji makao makuu (CDA) wakati huo akina Aden Rage Mbunge wa Tabora na wenzie ndio wakati wao wa wizi uliokubuhu pale CDA mambo yakawa hayaendi basi mbunge ikabidi achukue hatua ya kuwalipua kwa kuandika kitabu kilichoitwa-Madhambi ya CDA.
Mungu aiweke roho sehemu mahali pema peponi.
Dr. Meshark Massi:
Huyu ninavyomkumbuka ni ile scandal iliyomkuta pale hospitali ya mkoa Dodoma wakati yeye akiwa ndio mganga mkuu wa mkoa wa Dodoma miaka ya 90, miaka hiyo ajira zilisitishwa kada za chini zote idara ya afya, basi alitokea dada Fulani tapeli aliwadanganya kuanzia afisa tawala mkoa Mama Senyagwa hadi Dr Massi eti yeye huyo dada ni Daktari bingwa wa upasuaji yaani Surgion, kumbe alikuwa changu doa tu na bwana wake ni muuza chips, basi dada huyo wakamwajili kama dakitari bingwa akawa mpaka amnaingia theatre, siri ilivyobumburuka ilimpa shida sana Dr. Massi kutoa maelezo ikabidi ahamie Mkoa wa morogoro kwa wadhifa huo huo.
Col Mjengwa:
Yuko Tegeta anapigania afya yake
Mojor Lyanga:
Ni marehemu ajira yake jeshini ilikoma kimaajabu maajabu tu
Dr, Judith Kahama:
Ni marehemu kabla alikuwa DMO Ilala kabla ya kuwa mganga mkuu wa mkoa DSM
Dr. MASSI:
Alifariki jana hospitali ya Muhimbili
Yule dada Tapeli sijui alikoenda
Padri Supa:
Aliasi upadri yuko mtaani anaishi nyuma ya Tembe Chinangali Dodoma
Aden Rage:
Eti mbunge wa wanyemwezi wa mjini Tabora eti wanyawezi wakaona mbunge ni Rage.
Mama Senyagwa:
Amestaafu yuko Mkoani morogoro ila nasikia senyagwa amemtelekeza yuko kijiji cha Mseta walaya ya Kongwa aliwahi kuwa mbunge wa pale ila juzijuzi amehama CCM na kuhamia CHADEMA pale kibaigwa.
Ebaeban
Tel.Aviv.
Madaktari hawa wote ni marehemu DR. Judith Kahama alifariki terehe 6 Julay wakati Dr.Meshark Massi amefariki jana usiku katika hospital ya mhimbili.
Ninawalilia sana maana ninawafahamu kwa karibu sana,
Dr. Judith Kahama:
Binti wa waziri wa mwanzo wakati wa uhuru Sir. George Kahama, alikuwa jeshini Makutupora mwaka 1980-1981 operation Tija chini Mkuu wa kikosi Lt.col Edimund Mjengwa na optio Major. Lyanga. Inasemekana marehemu aliondoka na mkuu wa kikosi Lt.col Mjengwa kwenda Kigoma kwenye sikukuu ya wakulima kitaifa iliyofanyika huko na waliondoka kwa ndege inaelekea Marehemu alikuwa na uhusiano mzuri na mkuu wa kikosi huyo, mkuu wake wa mafunzo Major LYANGA alimind kitu hicho, unajua alichokifanya aliitisha rollcall ya kikosi kizima mishale ya saa 2 usiku rollcall yenyewe ilikuwa ya kichwa hadi kichwa na ikabainika kuruta Judith Hakuwepo kwa maana ingine ilikamatwa redhanded hayupo, basi kesho yake kweye daily order ikasomeka Judith ni mtoro na hatamaliza jeshi ataendelea kwa wiki mbili zaidi, Col Mjengwa aliporudi nae kwenye daily order akaiquash hiyo adhabu nakumbuka aliandika hivi nanukuu "Kulingana na judhuu mimi mkuu wa kikosi nina uwezo ninaifuta adhabu ya kuruta wote walioamriwa wasimalize jeshi na kwamba wamalize pamoja na wenzao".
Wakati tif ya mkuu wa kikosi na optio wake ikifanyika jeshini Makutupora Dodoma nako kulikuwa na tif jingine kati ya baba wa marehemu Judith Sr. George Kahama na mbunge wa Dodoma mjini Padri Severino Supa nao pale Dodoma palikuwa hapatoshi ikumbukwe Sir George Kahama alikuwa ndiye Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya usitawishaji makao makuu (CDA) wakati huo akina Aden Rage Mbunge wa Tabora na wenzie ndio wakati wao wa wizi uliokubuhu pale CDA mambo yakawa hayaendi basi mbunge ikabidi achukue hatua ya kuwalipua kwa kuandika kitabu kilichoitwa-Madhambi ya CDA.
Mungu aiweke roho sehemu mahali pema peponi.
Dr. Meshark Massi:
Huyu ninavyomkumbuka ni ile scandal iliyomkuta pale hospitali ya mkoa Dodoma wakati yeye akiwa ndio mganga mkuu wa mkoa wa Dodoma miaka ya 90, miaka hiyo ajira zilisitishwa kada za chini zote idara ya afya, basi alitokea dada Fulani tapeli aliwadanganya kuanzia afisa tawala mkoa Mama Senyagwa hadi Dr Massi eti yeye huyo dada ni Daktari bingwa wa upasuaji yaani Surgion, kumbe alikuwa changu doa tu na bwana wake ni muuza chips, basi dada huyo wakamwajili kama dakitari bingwa akawa mpaka amnaingia theatre, siri ilivyobumburuka ilimpa shida sana Dr. Massi kutoa maelezo ikabidi ahamie Mkoa wa morogoro kwa wadhifa huo huo.
Col Mjengwa:
Yuko Tegeta anapigania afya yake
Mojor Lyanga:
Ni marehemu ajira yake jeshini ilikoma kimaajabu maajabu tu
Dr, Judith Kahama:
Ni marehemu kabla alikuwa DMO Ilala kabla ya kuwa mganga mkuu wa mkoa DSM
Dr. MASSI:
Alifariki jana hospitali ya Muhimbili
Yule dada Tapeli sijui alikoenda
Padri Supa:
Aliasi upadri yuko mtaani anaishi nyuma ya Tembe Chinangali Dodoma
Aden Rage:
Eti mbunge wa wanyemwezi wa mjini Tabora eti wanyawezi wakaona mbunge ni Rage.
Mama Senyagwa:
Amestaafu yuko Mkoani morogoro ila nasikia senyagwa amemtelekeza yuko kijiji cha Mseta walaya ya Kongwa aliwahi kuwa mbunge wa pale ila juzijuzi amehama CCM na kuhamia CHADEMA pale kibaigwa.
Ebaeban
Tel.Aviv.