Ninavyoona Watu wengi Wamechoka!!

Ninavyoona Watu wengi Wamechoka!!

Ngoja nijizuie nimetoka ban jana usiku tu, kuikosa jf heri uikose nchi.
 
Ukitaka kujua watu walivyochoka, angalia wanavyomshabikia Dr. Shika.

Ni kama wanasema "huyu kachoka mwenzetu, tunamshabikia tuone anaitoa na kuishangaza dunia. Akifanya hivyo tuliochoka wote tutakuwa na matumaini".
 
Back
Top Bottom