Wakuu HEmedi baba yake amewahi kuwa rpc Arusha HEMEDI mwenyewe alianzia kazi ya polisi Arusha akaenda kusema diploma ya sheria aliporudi alipelekwa kituo cha Usariver sehemu yenye kituo na vifaa maalum vya kutesea wahalifu. Yeyote anaekamatwa na anatakiwa kuhojiwa aliekwa anapelekewa ni HEMEDI kuna wahalifu wengi wamekufa wakiwa wanahojiwa nae. Huyu jamaa baadae alihamisiwa Morogoro.
Wakuu HEmedi baba yake amewahi kuwa rpc Arusha HEMEDI mwenyewe alianzia kazi ya polisi Arusha akaenda kusema diploma ya sheria aliporudi alipelekwa kituo cha Usariver sehemu yenye kituo na vifaa maalum vya kutesea wahalifu. Yeyote anaekamatwa na anatakiwa kuhojiwa aliekwa anapelekewa ni HEMEDI kuna wahalifu wengi wamekufa wakiwa wanahojiwa nae. Huyu jamaa baadae alihamisiwa Morogoro.
Kung'olewa meno na kucha kwa prize, kubinywa mapu*** na mb*** unasema sio utesaji?
Unangeniambia Tanzania kuna watesaji but they are not professional ningekubali.
Lakini watesaji in the sense ya kutesa wapo na mojawapo ni huyo Hemed Msangi.
Kama kumuhukumu si kwa sababu ya utekwaji na uteswaji wa Dk Ulimboka bali kwa tabia yake binafsi na tabia ya Jeshi zima la Polisi-tabia y
a kutesa watu.
Kung'olewa meno na kucha kwa prize, kubinywa mapu*** na mb*** unasema sio utesaji?
Unangeniambia Tanzania kuna watesaji but they are not professional ningekubali.
Lakini watesaji in the sense ya kutesa wapo na mojawapo ni huyo Hemed Msangi.
Hayo siyo mawazo yangu ni mawazo ya Kova ndiyo anajaribu kutaka kuwaaminisha Watanzania kwamba waliomteka Dr Ulimboka ni wakenya na siyo Usalama wa Taifa Tz, mbaya zaidi kama ni kumlipa wamemlipa tuu yule mkenya wakasahau kuongea na Kanisa kwamba liwasitiri