Mimi pia huwa siwaelewi kabisa kwa hili. Wanaipinga polygamy kuliko hata kuchepuka njeMakanisa ya sasa duniani ukiwa na mke zaidi ya mmoja unatengwa fasta! Ila ukiwa changudoa au shoga wala hutengwi! Yaani wanavyochukia polygamy sijui imewakosea nini wakati manabii kibao hadi walioongea ana kwa ana na Mungu walikuwa na wake zaidi ya mmoja na Mungu hakuwahi kuwaambia marufuku! Hawa ambao hata sauti ya malaika hawaijui ndiyo wanapiga vita polygamy, ushoga ambao Mungu hakuwahi kuhalalisha na alichoma moto mji mzima ndiyo tunaambiwa tuwavumilie tuwa tolorate ila polygamists tuwatenge!
hebu chunguza vizur kati ya hao wenye mke mmoja na wenye wake wengi ni wepi wachepukaji konki. acheni kuhusisha mambo ya Mungu na tamaa zanu wenyewe, huyu mwenyewe sio mkristo hakuna mkristo wa design hio.Umechagua fungu jema, kuna watu wanakomaa na mke mmoja na michepuko lukuki ukimwambia si uoe tu mke wa pili utasikia mimi mkristo dini hairuhusu, nyambaf dini hairuhusu kuwa na wake wawili ila kuchepuka inaruhusu? Am sorry ila sie kina Bwana asifiwe tuna unafiki mwingi sana, yaani furaha yetu tuonekane mbele ya jamii kuwa tu wakristo ila matendo ya kikristo hatuyaishi kabisa.
akikujibu unitagNabii gani alikuwa na wake wengi?
Mkuu sikushauri uwaweke sehemu moja, wanawake hawajawahi kupendana kamwe, usione wanachekeana, watakuja kufanyiana mambo hutoamini macho yako... Nna ushuhuda wa hili nalokwambia... Miaka fulani zamani kidogo rafiki yangu alifanya hicho unachokisema na aliamini hivyo unavyoamini, siku moja Bi mdogo akiwa mjamzito, wakiwa wanaongea kwa Furaha tu na Bi Mkubwa, Bi Mkubwa akachemsha maji kisha ghafla akamwagia Bi mdogo, yeye na mimba yake alifariki baada ya siku 2.Baada ya utangulizi hapo juu leo nitatoa mrejesho wa mada tajwa.
Mimi niko na wake wawili na ninawapenda wote equally. Ilikuwa kazi ngumu sana kwangu kuanza maisha mapya, kwanza ndugu walianza maneno yao mengi tu na ifahamike nimetokea familia ya kikristo. Sikumsikiliza hata mmoja wao, nilikaa na my wife nikaongea nae kwa undani zaidi akakubali japo kwa mbinde.
Suala lililofuate nikatengwa church nikasema sasa ndio mmenipa amani nilikuwa natafuta sababu ya kutokuhudhuria mana sikuona lolote la msingi zaidi ya sadaka 9 kila jumapili. Na sasa si muamini, bali ni free man, nalo jitahidi kufanya kuonyesha upendo na kuwa social tu thats all. Naenda misibani, naona wagonjwa, kama kuna jirani anahitaji msaada na niko na uwezo nafanya. Dini im sorry i was once a slave. Note: Naamini uwepo wa Mungu turejee kwenye mada.
Mke mdogo amepewa siku 3, mke mkubwa siku 4 (protocol). Ila incase nitahitajika mahali popote na sio siku ya kwenda huko lazima niende ila namtaarifu wa upande wa pili. Mara nyingi kama naenda kwa bibi mdogo siku hyo nikitoka kwenye mihangaiko napitia kwa bibi mkubwanapiga nae story mbili tatu naondoka.
Nacho shukuru wote wanaelewana hawana shida. Na nimeongea nao wote wawili nawajengea nyumba sehemu moja viwanja vimepakana ila nitaweka fensi.Sheria yangu ni moja: Yeyote atakae choka anaruhusiwa kuomba taraka nitampa muda wowote akitaka. But so far, tuko vizuri na tuna miaka 3 sasa.
Ndugu zanguni, tuache hizi mbwembwe za dini za mafalisayo. Babu yangu mimi Guzman_ alikuwa na wake 6 leo mfarisayo amatokea sijui wapi anasema dhambi nasisi kama mazuzu tunasema sawa, na anaenda mbali zaidi kuwa dini zenu ni ushenzi tunakubali, ukijenga kaburi la babu yako ni dhambi kubwa sana, ukienda kutambika upate baraka unaabudu mizimu tukasema sawa.
Alivo maliza sasa wanaanza kusema watu weusi ni mikosi. Hakia nani sisi kweli ni mikosi na wenda wazimu na wakati wakitubagua kwa rangi zetu sisi tunabaguana kwa dini zetu tena zile tumeletewa. Sijui kama kuna mtu anaelewa hapa.
kwa kifupi mtoa mada anajiweza kiuchumi..sasa iga ufe!
Mbona sikukuona kwenye swala ya leo kuombea ndege irudiAirbus irudi jamani Hali Ni mbaya
Ona msadukayo huyu umeandika ugolo tu, wewe utaweza kushea rungu wewe?Umechagua fungu jema, kuna watu wanakomaa na mke mmoja na michepuko lukuki ukimwambia si uoe tu mke wa pili utasikia mimi mkristo dini hairuhusu, nyambaf dini hairuhusu kuwa na wake wawili ila kuchepuka inaruhusu? Am sorry ila sie kina Bwana asifiwe tuna unafiki mwingi sana, yaani furaha yetu tuonekane mbele ya jamii kuwa tu wakristo ila matendo ya kikristo hatuyaishi kabisa.
If you don't know something you better ask na sio kuongea blah blah blah za kilevi leviMakanisa ya sasa duniani ukiwa na mke zaidi ya mmoja unatengwa fasta! Ila ukiwa changudoa au shoga wala hutengwi! Yaani wanavyochukia polygamy sijui imewakosea nini wakati manabii kibao hadi walioongea ana kwa ana na Mungu walikuwa na wake zaidi ya mmoja na Mungu hakuwahi kuwaambia marufuku! Hawa ambao hata sauti ya malaika hawaijui ndiyo wanapiga vita polygamy, ushoga ambao Mungu hakuwahi kuhalalisha na alichoma moto mji mzima ndiyo tunaambiwa tuwavumilie tuwa tolorate ila polygamists tuwatenge!
Umechagua fungu jema, kuna watu wanakomaa na mke mmoja na michepuko lukuki ukimwambia si uoe tu mke wa pili utasikia mimi mkristo dini hairuhusu, nyambaf dini hairuhusu kuwa na wake wawili ila kuchepuka inaruhusu? Am sorry ila sie kina Bwana asifiwe tuna unafiki mwingi sana, yaani furaha yetu tuonekane mbele ya jamii kuwa tu wakristo ila matendo ya kikristo hatuyaishi kabisa.
Aisee Nina Mambo mengi Sana ya kuombea.hiko sio kipaumbele kwangu atiiMbona sikukuona kwenye swala ya leo kuombea ndege irudi
umeongea point kubwa sana.hakuna mahali katika dini zote mungu amekataza usioe wake wawili au zaidi
Unakosa uzalendo chiefAisee Nina Mambo mengi Sana ya kuombea.hiko sio kipaumbele kwangu atii
Uzalendo wangu Ni kuwaombea viongozi Mungu awape hekima na busara katika kutekeleza majukumu yao. Sio kuombea airbusUnakosa uzalendo chief
mimi naweza jaman tena napata muda wa kupumzika akiwa kwa mwenzaguKukubali kuolewa wake wawili yahitaji moyo.
Mimi siwezi.