malkiamrembo
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 386
- 231
Kimsingi kama upo tayari ni PM na namba ya simu uniambie kama upo tayari.
Sijaona dhamira yoyote ya sisi vijana kusaidiwa isipo tujiongeze wenyewe.
Kilimo kinauhusu mpunga, tutaandaa Business plan na strategic plan ya namna ya operation zetu zitakavyokuwa.
Nahitaji tuwe watu watano wa kuunganisha nguvu, na tuta-process mkopo bank maalum kwa lengo la kufanikisha, naomba usiwe bishoo wala chekibobu, uwe mtu uliyedhamiria kweli.
Kilimo ni cha kumwagilia na location yake ni Morogoro
Jinsia haimati ilimradi unadhamira ya kweli
Asanteni.
Sijaona dhamira yoyote ya sisi vijana kusaidiwa isipo tujiongeze wenyewe.
Kilimo kinauhusu mpunga, tutaandaa Business plan na strategic plan ya namna ya operation zetu zitakavyokuwa.
Nahitaji tuwe watu watano wa kuunganisha nguvu, na tuta-process mkopo bank maalum kwa lengo la kufanikisha, naomba usiwe bishoo wala chekibobu, uwe mtu uliyedhamiria kweli.
Kilimo ni cha kumwagilia na location yake ni Morogoro
Jinsia haimati ilimradi unadhamira ya kweli
Asanteni.