Ninatafuta mpenzi/mume nipo serious

Ninatafuta mpenzi/mume nipo serious

Hapa shangazi yuko seriasi Unaweza kulambwa makofi ukimletea ujana wako.
Utaapata tu, ulimwengu Wa mapenzi haijawahi kuishiwa kuna wanaume wenye sifa unazohitaji lukuki, nitakuombea sister mkubwa.
 
Hapa shangazi yuko seriasi Unaweza kulambwa makofi ukimletea ujana wako.
Utaapata tu, ulimwengu Wa mapenzi haijawahi kuishiwa kuna wanaume wenye sifa unazohitaji lukuki, nitakuombea sister mkubwa.
Asante sana MSEZA MKULU . Niko siriazi kabisa na ninaamini nitapata japo itachukua muda. Hapa jukwani inawezekana ni ngumu kupata ila nimeomba watu waondoke na ombi langu kama wana wazazi wagani au kaka zao ambao wamefiwa mke na wana sifa basi waniunganishe sina tabu kabisa.
 
Hongera umri huo unatafuta mzee mwenzio mana wengine wanatafuta dogodogo...mi wa umri ka wako nawapenda kwa kutoa ushauri tu wa kimaisha mana mmejaliwa
 
Dada Loeli teta na mkuu Invisible naona kakupa likes za kutosha!!!
You never know ya Mungu mengi!!!
Yote heri ndugu yangu. Mungu anajua kulala na kuamka kwetu. Kwa hiyo hata mzee mwenzangu anamfahamu. Mimi simjui. Ninamsikilizia Mungu.
 
Hongera umri huo unatafuta mzee mwenzio mana wengine wanatafuta dogodogo...mi wa umri ka wako nawapenda kwa kutoa ushauri tu wa kimaisha mana mmejaliwa

Asante sana. Ushauri ni jambo jema.
 
Wapendwa nimeshabadili jina na avatar pia. Poleni sana mliokereka na ID na avatar ya awali. I hope mmeipenda ID na avatar mpya. Karibuni kwa ushauri wenu na connection. Asanteni.
 
Yote heri ndugu yangu. Mungu anajua kulala na kuamka kwetu. Kwa hiyo hata mzee mwenzangu anamfahamu. Mimi simjui. Ninamsikilizia Mungu.
Amen Amen...
Bado kitambo kidogo Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema atajibu hitaji la mtima wako na hatmae katika upya wenu mtayaishi mapenzi!!
Tunakuombea mkuu!!
 
Duuuuu! ebna eeeee!! bonge la zali kama la mentali, hii chance niliitamani ila kiumri bado mdogo sina vigezo ila nina babu yangu ana umri wa miaka 54 aliifiwa na bibi yani mkewe miaka miwili iliyopita so hajapata wa kumliwaza mpaka leo na babu yuko fit kiuchumi ana mijengo yake sio malioo ila hana kampany tu pia ni mchamungu na mwenye busara sana ngoja nimvutie waya nimpe hili dili nazan atafurahi sana maana alikuwa hajapta wa kumkanda mgongo. Ngoja ni bonge nae then iwill be back kuleta mrejesho nikuambie mzee kasemaje.
 
Duuuuu! ebna eeeee!! bonge la zali kama la mentali, hii chance niliitamani ila kiumri bado mdogo sina vigezo ila nina babu yangu ana umri wa miaka 54 aliifiwa na bibi yani mkewe miaka miwili iliyopita so hajapata wa kumliwaza mpaka leo na babu yuko fit kiuchumi ana mijengo yake sio malioo ila hana kampany tu pia ni mchamungu na mwenye busara sana ngoja nimvutie waya nimpe hili dili nazan atafurahi sana maana alikuwa hajapta wa kumkanda mgongo. Ngoja ni bonge nae then iwill be back kuleta mrejesho nikuambie mzee kasemaje.
Asante sana. Atakuwa amenipita miaka 7 si mbaya kabisa, kinachotakiwa ni maisha ya upendo illi tukamilishe safari yetu ya hapa duniani kwa uzee mwema usiokuwa na presha. Ubarikiwe sana.
 
Naona mzee mwenzangu umeuchoka upweke.....kila la kheri....
Asante sana. Ni vyema jamii ikakubali kuwa nature ni lazima ichukue mkondo wake, kuna wakati wa kuhangaikia maisha ila pia kuna wakati unahitaji mtu wa kubadilishana naye mawili matatu ambaye pia atakuwa mwandani wako. Tusijidangany hata ukiugua leo ukiwa mtu mzima ukiwa na mwenza ina uafadhali sana hasa kwa wanaume. Tuombe heri yupo somewhere nitampata tu.
 
Asante sana. Ni vyema jamii ikakubali kuwa nature ni lazima ichukue mkondo wake, kuna wakati wa kuhangaikia maisha ila pia kuna wakati unahitaji mtu wa kubadilishana naye mawili matatu ambaye pia atakuwa mwandani wako. Tusijidangany hata ukiugua leo ukiwa mtu mzima ukiwa na mwenza ina uafadhali sana hasa kwa wanaume. Tuombe heri yupo somewhere nitampata tu.
Sawa kabisa....maisha ya upweke ni magumu sana....yanakufanya ujione kama unaishi kisiwani ilhali uko mtaani......nakutakia kheri katika hatakati zako....na mwenyezi atakidhi matakwa ya nafsi yako....
 
Aisee kumbe jf humu tuna mama zetu na bibi zetu...........kila kheri mama

Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
 
Duuuuu! ebna eeeee!! bonge la zali kama la mentali, hii chance niliitamani ila kiumri bado mdogo sina vigezo ila nina babu yangu ana umri wa miaka 54 aliifiwa na bibi yani mkewe miaka miwili iliyopita so hajapata wa kumliwaza mpaka leo na babu yuko fit kiuchumi ana mijengo yake sio malioo ila hana kampany tu pia ni mchamungu na mwenye busara sana ngoja nimvutie waya nimpe hili dili nazan atafurahi sana maana alikuwa hajapta wa kumkanda mgongo. Ngoja ni bonge nae then iwill be back kuleta mrejesho nikuambie mzee kasemaje.
Noma sanaaaaa..ah ah mpe babu ..mama yetu

Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom