Ninatafuta mfadhili

Ninatafuta mfadhili

SUZANE

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
740
Reaction score
502
Nawasalimuni nyote!!

Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikijipigania lau niweze kujilipia hata kozi ya cheti pale chuo cha sanaa Bagamoyo lakini kumbe mipango si matumizi.

Kwa kipato changu nimeshidwa kabisaaa, kujiwekea akiba ili nikajisomeshe, lakini natamani sana na ninapenda sana nikasome ili cku moja nifikie malengo yangu.

Tafadhali ninaomba kama yupo atakaeguswa anilipie ada hiyo ya mwaka mmoja ya ngazi ya cheti ili nikasome na kuweza kuzifikia ndoto zangu.

Masomo yanaanza mwezi wa tisa, na mwisho wa maombi ni mwezi wa tano. Sihitaji kupatiwa hata senti tano mkononi, kwani chuo kina account.

Najua mpo mtakao nidhihaki lakini naamini yupo mmoja atakaeguswa.

Amen.
 
Sasa best ungeweka ni kiasi gani cha ada unayoitaka wapo ambao wanaweza kukusaidia kuipunguza na wapo wataona kuwa wanaweza kulipa yote.
 
Sasa best ungeweka ni kiasi gani cha ada unayoitaka wapo ambao wanaweza kukusaidia kuipunguza na wapo wataona kuwa wanaweza kulipa yote.
Nilikua najaribu kudownload ile fomu yao nimeshindwa
 
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo
(TaSUBa)
Simu: 0255 023 2440032
Fax: 0255 023 2440149
Barua pepe:taasisisanaa@gmail.com
Tuvuti: www.tasuba.ac.tz
Unapojibu tafadhali taja:
Kumb. Na. HUM/TSUB/MF.5/VOL.III/251


S.L.P. 32,

BAGAMOYO


1. GHARAMA ZA MASOMO YA CHETI/STASHAHADA YA SANAA ZA MAONESHO NA SANAA ZA
UFUNDI KWA MWAKA WA MASOMO 2016/17
NA MAELEZO MALIPO KWA KIASI
1. Ada Taasisi 900,000.00
2. Malazi (Hostel mpya) Taasisi 340,000.00
3. Ada ya NACTE Taasisi 15,000.00
4. Usajili NACTE 20,000.00
5. Fedha ya tahadhari (Caution Money) Taasisi 20,000.00
7. Posho ya vitabu Mwanafunzi 200,000.00
8. Steshenari Mwanafunzi 100,000.00
9. Matibabu Mwanafunzi 100,000.00
10. Chakula Mwanafunzi 1,620,000.00
11. Ada ya Serikali ya wanachuo UWA TaSUBa 20,000.00
13 Kitambulisho Taasisi 10,000.00 no 6 na 12 nimefuta ni kwa ajili ya watu wa diploma.
 
Niliguswa mwanzo lakini naona kama mguso umenitoka baada ya kusoma hiyo story
Duh JF ni zaidi ya uijuavyo
 
Back
Top Bottom