Ninapata wasiwasi wa kuoa

Ninapata wasiwasi wa kuoa

Na hakuna kipya kwenye dunia ,ndiyo maana tamaa najizuia.

UTU na UTULIVU.
 
Wikiendi iliyopita nimeshuhudia harusi 4. Hii ina maana kuwa watu bado wanaoa..

Hakuna anayeongea "Utupulo" ila kila mtu ANAONGEA MAWAZO YAKE.

Muache kuona mawazo ya wengine ni majinga na ya kwenu ndio sahihi.

Mnataka kila mtu awaze MTAKAVYO NYIE?

Bro, Duniani kila mtu anawazo lake juu ya jambo fulani, na Jifunze kuheshimu mawazo yasiyoenda sambasamba na mawazo yako.

#YNWA
 
Humu mambo mengine n ya kuyaangalia tu km yalivyo na kuyaacha likiwepo hilo la kutokuoa wakati mtaaani kila siku watu wanaoelewa na kuoa
Kuwahimiza watu waende kanisani haimanishii hakuna raia wanaosilimu.

#YNWA
 
Wapinga ndoa wengi wameoa mpwa...labda hivi vitoto vya fomu foo, siksi na mwaka wa kwanza vyuoni
PUNGUZENI kukejeli wasiokubali hoja zenu.
Kwani Shule hukufundishwa mambo ya proposers na opposers, au Shule kwenu ulikua unawatukana wale "Against you"

#YNWA
 
Nenda Rita ukapitie takwimu za talaka...

Sijaelewa unazungumzia nini mkuu.

Maombi ya talaka 1000 kwa kipindi cha miezi minane out of how many marriages?

Kwa vile kuna ajali nyingi za magari kutokana na uzembe wa madereva ndo watu waache kununua magari?

Am I missing something?
 
Hii imekua tatizo hata wadada nao wanaogopa kuolewa, wanajiuliza, je atanipenda siku zote?
 
Back
Top Bottom