😅😅😅😅 wewe emu ongeza sauti xaxa......Mchumba wako anaandika xaxa badala ya sasa? Kama jibu ni ndio atagongwa sana na wajinga wajinga.
Tafuta stori nzuri pia usome. Huko ndo utajifunza.Napata wasiwasi ya kuoa kutokana na haya ninayo yaona kila siku kwenye mtandao kuhusu maisha ya wana ndoa
Kila siku lazima nikutane na post ya watu kuachana wengine kufumaniana wengine kulea watoto ambao sio wao
Dah sijui tukimbilie wapi sisi kutafuta wanawake tutakao dumu nao
Umemaliza bro.Wikiendi iliyopita nimeshuhudia harusi 4. Hii ina maana kuwa watu bado wanaoa.
Usitishwe na utopolo wa mitandaoni humu ambamo kila mtu yuko huru kujiandikia cho chote anachotaka hata kama ni uwongo.
Muombe Mungu sana Akuletee mwanamke mwenye sifa unazozitaka halafu oa ufurahie ndoa yako. Changamoto zitakuwepo lakini kama utakuwa umepata mtu sahihi mmekuwa washikaji sana mengine yote mtayavumilia....
Usiogope!
Hahaha,Kama mm aisee ninahofu balaa mpwa sijui naogopa kulala bila nguo![]()
Achana na maisha ya maigizo ya mitandaoni,ishi maisha yako halisi,aishi maisha yake halisi,achana na wafanya maigizo ya maisha.Ukishindwa hilo maisha yalishakushinda🤔Napata wasiwasi ya kuoa kutokana na haya ninayo yaona kila siku kwenye mtandao kuhusu maisha ya wana ndoa
Kila siku lazima nikutane na post ya watu kuachana wengine kufumaniana wengine kulea watoto ambao sio wao
Dah sijui tukimbilie wapi sisi kutafuta wanawake tutakao dumu nao
Nikikufunda hiyo hofu itaisha mpwa.Kama mm aisee ninahofu balaa mpwa sijui naogopa kulala bila nguo![]()



Wapinga ndoa wengi wameoa mpwa...labda hivi vitoto vya fomu foo, siksi na mwaka wa kwanza vyuoniKweli alafu humu watu waongo sana mtu Leo anathraed kataa ndoa na anasema haoi kesho anasahau anaomba ushauri mkewe kaenda kijijin hajarudi![]()
Mchumba wako anaandika xaxa badala ya sasa? Kama jibu ni ndio atagongwa sana na wajinga wajinga.


Ndo hoja ya kijinga kama hii uliyo nayo?Hivi timu LGBTQ mbona mnajidhihirisha kabisa jinsi gani hamna akili?
Ukioa au usipooa lazima ututangazie?
Ha
Hawa wa saiz hawana utu na utulivu,,,, hata alikiba aliimba utu&utulivu lakn mke wake akamkimbia
mganga hajigangi.. Haka kamsemo nakaelewa sana.Tumesha-zizoea hizi hoja zenu za kijinga,, njooni na hoja za maana.Kuna options mbili tu duniani KUOA au KUOLEWA!
Maadam umeshaogopa ya kwanza?basi ya pili inakuhusu!kila la kheri