Ninapata wasiwasi wa kuoa

Ninapata wasiwasi wa kuoa

Kuna demu huwa anakuja geto hasa weekend na ratiba anayo kabisa DStv channel 160 kipindi cha harusi Yetu ndiyo kinaitwa hivyo aisee watu bado wanaoa jamani huwa nashangaa sana..
 
Niko kwenye kikao cha Ndoa hapa. Kinanihusu. Naoa mwanzoni mwa mwezi wa tatu, uzoefu Miaka mitano.
Mkihitaji ukumbi mzuri wa kisasa, ziwani tafadhali msisite kunitafuta na nitaingia kweny kamati pia.
 
Wikiendi iliyopita nimeshuhudia harusi 4. Hii ina maana kuwa watu bado wanaoa.

Usitishwe na utopolo wa mitandaoni humu ambamo kila mtu yuko huru kujiandikia cho chote anachotaka hata kama ni uwongo.

Muombe Mungu sana Akuletee mwanamke mwenye sifa unazozitaka halafu oa ufurahie ndoa yako. Changamoto zitakuwepo lakini kama utakuwa umepata mtu sahihi mmekuwa washikaji sana mengine yote mtayavumilia....

Usiogope!
Well said Doctor.
 
Tumesha-zizoea hizi hoja zenu za kijinga,, njooni na hoja za maana.
Mkuu mimi team kataa ndoa!hapa nanogesha mada tu!dunia ya leo kuoa ni sawa na kufuga jini,masharti kibao na damu linakukausha.
 
Tumesha-zizoea hizi hoja zenu za kijinga,, njooni na hoja za maana.
Mkuu mimi team kataa ndoa!hapa nanogesha mada tu!dunia ya leo kuoa ni sawa na kufuga jini,masharti kibao na damu linakukausha.
 
Napata wasiwasi ya kuoa kutokana na haya ninayo yaona kila siku kwenye mtandao kuhusu maisha ya wana ndoa
Kila siku lazima nikutane na post ya watu kuachana wengine kufumaniana wengine kulea watoto ambao sio wao
Dah sijui tukimbilie wapi sisi kutafuta wanawake tutakao dumu nao
1.MASANJA
2.MWAKA
3.MANARA
4.NIKKI
HAO WOTE WANA MAJINA, KIPATO, MUONEKANO MZURI.
NINI KIMEWATOKEA?

NAKUMBUSHA TU MAUMIVU YA TALAKA YANAPOTEA BAADA YA MIKA 10 MPAKA 15.

KAMA UNA UHAKIKA WA KUWA NA MKE MTIIFU, MNYENYEKEVU, MSIKIVU MIAKA YOTE KAMA MLIVYO KWENYE UCHUMBA, URAFIKI. OA, NA KINYUME CHAKE
 
Napata wasiwasi ya kuoa kutokana na haya ninayo yaona kila siku kwenye mtandao kuhusu maisha ya wana ndoa
Kila siku lazima nikutane na post ya watu kuachana wengine kufumaniana wengine kulea watoto ambao sio wao
Dah sijui tukimbilie wapi sisi kutafuta wanawake tutakao dumu nao
Broo dunia ndio hii na bora ukaowa leo kuliko uje kuowa huko mbele ndio baraaa zaidi bora sasa hivi mwanamke anaakaa japo mwezi huko mbele itakuwa ndoa jioni kesho asubuh anaamkia kwao na taraka kwahiyo usiogope na wew jitose hakuna atakayekushangaa ndio dunia imefikia stage hiyo
 
Napata wasiwasi ya kuoa kutokana na haya ninayo yaona kila siku kwenye mtandao kuhusu maisha ya wana ndoa
Kila siku lazima nikutane na post ya watu kuachana wengine kufumaniana wengine kulea watoto ambao sio wao
Dah sijui tukimbilie wapi sisi kutafuta wanawake tutakao dumu nao
Wengine wanauana
 
Back
Top Bottom