Ninapata wasiwasi wa kuoa

Ninapata wasiwasi wa kuoa

natafuta mchumba wadau.nimefumania mke nikaacha nataka nioe mwingine.

atakae vutiwa pm ipo wazi karibuni waremboo.
 
Mwamke wa kudumu nae ni mama yako tu apa duniani litambue kwanza ilo.alafu oa tu ikitokea ajali ya kuachana au kufumaniana kubaliana na matokeo
 
Napata wasiwasi ya kuoa kutokana na haya ninayo yaona kila siku kwenye mtandao kuhusu maisha ya wana ndoa
Kila siku lazima nikutane na post ya watu kuachana wengine kufumaniana wengine kulea watoto ambao sio wao
Dah sijui tukimbilie wapi sisi kutafuta wanawake tutakao dumu nao
Mbona hueleweki?
 
Oa mzungu
Napata wasiwasi ya kuoa kutokana na haya ninayo yaona kila siku kwenye mtandao kuhusu maisha ya wana ndoa
Kila siku lazima nikutane na post ya watu kuachana wengine kufumaniana wengine kulea watoto ambao sio wao
Dah sijui tukimbilie wapi sisi kutafuta wanawake tutakao dumu nao
 
Back
Top Bottom