last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,700
- 3,925
Habarini wakuu!
Nahitahi kununua laptop kwa ajili ya matumizi mbali mbali ,Mimi ni mgeni kwenye masuala ya PC.
Nahitaji kujua niangalie vigezo gani? Brand ipi ni nzuri katika matumizi ya hapa na pale. Na je nikihitaji ya mtumba nitainunua kwa bei gani na ipi? Na kama ni mpya ni ipi?
Bajeti yangu ni 600k.
Nawasilisha
Nahitahi kununua laptop kwa ajili ya matumizi mbali mbali ,Mimi ni mgeni kwenye masuala ya PC.
Nahitaji kujua niangalie vigezo gani? Brand ipi ni nzuri katika matumizi ya hapa na pale. Na je nikihitaji ya mtumba nitainunua kwa bei gani na ipi? Na kama ni mpya ni ipi?
Bajeti yangu ni 600k.
Nawasilisha