Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,351
- 33,187
umetisha wengi wanaona ndizi 3Kwanza, assumptions:
- Kuwa kila tunachokiona kinafanana/kinalingana. Kwa mfano; apple zote zinalingana uzito, kila ndizi inalingana uzito na ndizi nyingine, nazi imevunjwa katika nusu sawa zenye uzito sawa.
Baada ya hapo;
apple - 10
ndizi (moja) - 1
nusu nazi - 1
1+10+3 = 14
Apple =10
Apple = 10, Banana = 4 and Coconut = 2
2 + 10 + 4 = 6