Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
Upo tayari kusifia kila kitu?
Karibu lumumba
Karibu lumumba
usipende kitonga kaza weweeeeHapana ,siiwezi hiyo kazi.
Msaada wenu wakuu, ninaomba kazi ya kufanya isiyozidi miezi miwili.
Lengo kuu ni kujiboost nipate mtaji nijiajiri .
Elimu yangu ni ya chuo kikuu japo sijamaliza ,nimesitisha masomo kwa muda kwa sababu za kifedha.
Umri wangu ni miaka isiyozidi 28 ila haipungui 24.
Makazi dar es salaam.
Sina matatizo yoyote ya kiafya.
unamfundisha wizikazi gani hazina changamoto wew tena uko sehemu nzuri changomoto zikizidi unabugia maziwa vikombe viwili unakua fresh
Natafuta sehemu za bata TaboraMsaada wenu wakuu, ninaomba kazi ya kufanya isiyozidi miezi miwili.
Lengo kuu ni kujiboost nipate mtaji nijiajiri .
Elimu yangu ni ya chuo kikuu japo sijamaliza ,nimesitisha masomo kwa muda kwa sababu za kifedha.
Umri wangu ni miaka isiyozidi 28 ila haipungui 24.
Makazi dar es salaam.
Sina matatizo yoyote ya kiafya.
We jamaa mara upo form6 mara upo chuo huelewekiMsaada wenu wakuu, ninaomba kazi ya kufanya isiyozidi miezi miwili.
Lengo kuu ni kujiboost nipate mtaji nijiajiri .
Elimu yangu ni ya chuo kikuu japo sijamaliza ,nimesitisha masomo kwa muda kwa sababu za kifedha.
Umri wangu ni miaka isiyozidi 28 ila haipungui 24.
Makazi dar es salaam.
Sina matatizo yoyote ya kiafya.
Duuh, watu kwa kufukua mpo vizuri.