Naja naja
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 747
- 1,452
Msaada wenu wakuu, ninaomba kazi ya kufanya isiyozidi miezi miwili.
Lengo kuu ni kujiboost nipate mtaji nijiajiri .
Elimu yangu ni ya chuo kikuu japo sijamaliza ,nimesitisha masomo kwa muda kwa sababu za kifedha.
Umri wangu ni miaka isiyozidi 28 ila haipungui 24.
Makazi dar es salaam.
Sina matatizo yoyote ya kiafya.
Lengo kuu ni kujiboost nipate mtaji nijiajiri .
Elimu yangu ni ya chuo kikuu japo sijamaliza ,nimesitisha masomo kwa muda kwa sababu za kifedha.
Umri wangu ni miaka isiyozidi 28 ila haipungui 24.
Makazi dar es salaam.
Sina matatizo yoyote ya kiafya.