KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nidhaili huyu ni mahili lakini huyu mahiri nidhahili na pata tabu kufahamu umahili wake
Hasa tusomapo mashahiri yaliyomahiri nidhahili sisitahili hata kugusa shahiri lake
Anastahili kuitwa fahari kwakuwa nifahari wa mashairi yake
Nidhahili yeye ni stahimili yakuitwa fahari mashiri ni ufahari wake.
Ruttashubanyuma umekuwa nguri wa mashahiri
Katu sitasimama kusema wako ufahari
Nisiku za nyuma kutujia na tungo zako hariri
Nidhahili yeye ni stahimili yakuitwa fahari mashiri ni ufahari wake.
Mwisho zangu beti mbili,kwani najua wewe ni mahiri
Katu sitowe badili,ufahari ulionao juu ya yako shari
Nakuomba usibadili hii yako staili wengi twapenda mashahiri
Nidhahili yeye ni stahimili yakuitwa fahari mashiri ni ufahari wake.
Hasa tusomapo mashahiri yaliyomahiri nidhahili sisitahili hata kugusa shahiri lake
Anastahili kuitwa fahari kwakuwa nifahari wa mashairi yake
Nidhahili yeye ni stahimili yakuitwa fahari mashiri ni ufahari wake.
Ruttashubanyuma umekuwa nguri wa mashahiri
Katu sitasimama kusema wako ufahari
Nisiku za nyuma kutujia na tungo zako hariri
Nidhahili yeye ni stahimili yakuitwa fahari mashiri ni ufahari wake.
Mwisho zangu beti mbili,kwani najua wewe ni mahiri
Katu sitowe badili,ufahari ulionao juu ya yako shari
Nakuomba usibadili hii yako staili wengi twapenda mashahiri
Nidhahili yeye ni stahimili yakuitwa fahari mashiri ni ufahari wake.