Ninani anayebisha kuwa Lowassa sio rais?

Ninani anayebisha kuwa Lowassa sio rais?

ccm wanalijuwa hilo matumbo yana wauma ukiwatajia jina lowassa
 
Aisee Lowassa ni shidaaa,gazeti la mwananchi la leo limeripoti habari kuu ukurasa wa mbele likisema kila kona ni Lowassa,kampeni za vyama vyote ni Lowassa haijalishi kwa uzuri au kwa ubaya ilimradi tu ni Lowassa....
 
Hivi kuna mtu aliyepinga lowassa kusema sio rais....jamani ndio maana tunaitwa wapuuzi..na malofa..hoja ni kwamba lowasa anatakiwa ajibu tuhuma zake...pili atueleza atatumia mikakati gani kuziba mianya ya rushwa..ili kuweza kufanikisha maendeleo ya nchi

Lowasa ni Rais hiyo haina ubishi majibu ya maswali yako yatajibiwa kwa vitendo akiwa Ikulu.Maana kwa maneno hamtaelewa majibu yake
 
Lowasa hawez kuwa president wa TZ, hata ahonge vp
Kwa ss hafai kuwa hata mkuu wa mkoa ukiacha uwaziri
 
Jamani tusifarijiane mwaka huu CCM imekwisha Lowasa anachukua nchi...

Jana nikiwa nimesimama sehemu napitiapitia vichwa Vya habari kwenye magazeti pale posta mpya, alikuja kijana mmoja aliyejionyesha kama ni msomi....basi kuna gazeti moja liliandika Ukawa wakipewa nchi wataigeuza kua Libya "japo sikumbuki vizuri kile kichwa" na lingine liliandika ntaibadilisha Z'bar kuwa kama singapore asema mahalim seif sharif hamad... Sasa yule kijana akaanza kuponde ile ya seif akisema huo ni usanii haiwezekani, alafu akaanza kusifia ile ya magufuli isemayo wakichukua wapinzani nchi itageuka kua "Libya" jamani yule kijana alizomewa galfa na watu wote waliokua pale ailulizwa maswali magumu..

watu wakaanza kamwambia kawaambie waliokutuma, watanzania tumeamua Lowasa raisi wetu...nikasema safi sana watu wameamka. .sasa wewe ni nani upinge kuwa lowasa sio raisi?

Hiyo haitoshi kaka je? Kichinjio wanacho?
 
Hivi kuna mtu aliyepinga lowassa kusema sio rais....jamani ndio maana tunaitwa wapuuzi..na malofa..hoja ni kwamba lowasa anatakiwa ajibu tuhuma zake...pili atueleza atatumia mikakati gani kuziba mianya ya rushwa..ili kuweza kufanikisha maendeleo ya nchi

Simple mkakati wa kuondoa na kuziba mianya ya rushwa kwa maendeleo ya watanzania ni kuiondoa ccm tu. Baada ya hilo mchakato wa katiba kwa kuitupa katiba pendekezwa. Wakati huo huo Kodi zote za kilimo, mifugo, biashara ya wanyonge, vifaa vya michezo vinaondolewa kodi. Watoto kusoma bure hadi wachoke.
Kisha futa kodi kamata waliotuibia warudishe. Madini na gesi weka mikataba yake vizuri kuna mapato si kawaida. Boresha bandari na reli vinatosha. Kwingine achia watu wajinafsi bila kodi, huko ndio kuondoa umaskini.
 
Labdae Rais wa huko kwenu Monduli, sisi huku hatumjui kabisaaa na wala asitegemee wala kujidanganya kuwa ataingia Ikulu, hizo no ndoto za mchana kweupeeeee!!!

Mgalikuwa hamumjuai, mbona mwamjua anapotoka?
Mmepandikizwa chuki na viongozi wenu ninyi, hata aibu huoni? Hebu niambie kitu kimoja tu (au nusu tu) alichokukosea Mh. Edward Lowassa? Bila shaka huna, ni mkumbo tu unafuata bila hata ya kujihoji mwenyewe!
JITAMBUE NDUGU, ULIMWENGU UNAENDA KASI SANA!
 
Lowassaaaaaaaaaa..... anangojea kuapishwa tu...

Watu washaandaa sherehe tayari na nyimbo za kuapishwa Lowassa...!!

CCM kwishaaaaaaaa.....!!!✌✌✌✌
 
Mgalikuwa hamumjuai, mbona mwamjua anapotoka?
Mmepandikizwa chuki na viongozi wenu ninyi, hata aibu huoni? Hebu niambie kitu kimoja tu (au nusu tu) alichokukosea Mh. Edward Lowassa? Bila shaka huna, ni mkumbo tu unafuata bila hata ya kujihoji mwenyewe!
JITAMBUE NDUGU, ULIMWENGU UNAENDA KASI SANA!

Viongozi Wa Ukawa Ndio Waliotufanya Tumchukie,kwa Kutuaminisha Ni Fisadi Kwa Miaka Almxt 8 Mfululizo Hawahawa Viongoz Wa Ukawa.Viongoz Wa Ukawa Ndio Waliotupa Sababu Ya Kumchukia Mpaka Sasa.
 
hata siku moja lowasa hawezi kuwa rais upende, usipende magufuli is our president 2015-2025
 
Jamani tusifarijiane mwaka huu CCM imekwisha Lowasa anachukua nchi...

Jana nikiwa nimesimama sehemu napitiapitia vichwa Vya habari kwenye magazeti pale posta mpya, alikuja kijana mmoja aliyejionyesha kama ni msomi....basi kuna gazeti moja liliandika Ukawa wakipewa nchi wataigeuza kua Libya "japo sikumbuki vizuri kile kichwa" na lingine liliandika ntaibadilisha Z'bar kuwa kama singapore asema mahalim seif sharif hamad... Sasa yule kijana akaanza kuponde ile ya seif akisema huo ni usanii haiwezekani, alafu akaanza kusifia ile ya magufuli isemayo wakichukua wapinzani nchi itageuka kua "Libya" jamani yule kijana alizomewa galfa na watu wote waliokua pale ailulizwa maswali magumu..

watu wakaanza kamwambia kawaambie waliokutuma, watanzania tumeamua Lowasa raisi wetu...nikasema safi sana watu wameamka. .sasa wewe ni nani upinge kuwa lowasa sio raisi?

Nilikuwepo, si ilikuwa pale nje ya KKKT.
 
Mnafiki,fisadi,mtu Wa Makundi,mwenye Tamaa Ya Madaraka,maneno Yake Na Vitendo Vyake Haviendani...
Kwanza lazma utambue hakuna kinachokuja kirahis lazma ukipiganie kwel so sijakuelewa kuhusu kuwa na uchu wa madaraka na lengo la mwanasiasa yeyote au chama chochote dunian ni kushika dola je ccm kung'ang'ania miaka yote hiyo sio uchu wa madaraka au huyo magufuli kuwa mbunge miaka yote sio uchu wa madaraka?kwa nin iwe kwa lowasa tu?fafanua mkuu
Kuhusu ufisad hakuna ushahid wa moja kwa moja other wise angeshafungwa na ccm ndo jumba la mafisadi 2.kwan huyo maguful hiyo timu ya wanaompigia kampen hawatalipwa fadhila unafikiri and mwanasiasa usipokuwa na makund ni dalil ya kutokua na ushawishi kitu ambacho c kizur kwa kiongoz kwa sabab unaongoza watu weng hata walio against na wewe na sijakuelewa vizur kuhusu suala la unafik na kutokumaanisha anacho sema fafanua kidogo mkuu
 
Jamani tusifarijiane mwaka huu CCM imekwisha Lowasa anachukua nchi...

Jana nikiwa nimesimama sehemu napitiapitia vichwa Vya habari kwenye magazeti pale posta mpya, alikuja kijana mmoja aliyejionyesha kama ni msomi....basi kuna gazeti moja liliandika Ukawa wakipewa nchi wataigeuza kua Libya "japo sikumbuki vizuri kile kichwa" na lingine liliandika ntaibadilisha Z'bar kuwa kama singapore asema mahalim seif sharif hamad... Sasa yule kijana akaanza kuponde ile ya seif akisema huo ni usanii haiwezekani, alafu akaanza kusifia ile ya magufuli isemayo wakichukua wapinzani nchi itageuka kua "Libya" jamani yule kijana alizomewa galfa na watu wote waliokua pale ailulizwa maswali magumu..

watu wakaanza kamwambia kawaambie waliokutuma, watanzania tumeamua Lowasa raisi wetu...nikasema safi sana watu wameamka. .sasa wewe ni nani upinge kuwa lowasa sio raisi?

Ninabisha.
Acha kukurupuka kama umefumaniwa.
Lowassa sio rais..na hawezi kuwa mpaka baada ya Oct.25.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom