Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 4,038
- 3,034
Ukisema R.I.P lowasa unamaanisha nin
Ameshaisha kisiasa
Ukisema R.I.P lowasa unamaanisha nin
Kuhusu ufisad hakuna ushahid wa moja kwa moja other wise angeshafungwa na ccm ndo jumba la mafisadi 2.kwan huyo maguful hiyo timu ya wanaompigia kampen hawatalipwa fadhila unafikiri and mwanasiasa usipokuwa na makund ni dalil ya kutokua na ushawishi kitu ambacho c kizur kwa kiongoz kwa sabab unaongoza watu weng hata walio against na wewe na sijakuelewa vizur kuhusu suala la unafik na kutokumaanisha anacho sema fafanua kidogo mkuu
Sijaelewa mkuu..yani utatoa ule mtandao pendwa,au?Lowassa Akiwa Raisi Wa Nchi Hii Mimi Nabadili Jinsia Yangu Nakua Mwanamke.
Raisi Wa Nchi Ajae Ni Dk.J.P Magufuli.Mwenye Masikio Na Asikie
Huyu jamaa hata mimi sijamuelewa kabisaLowassa Akiwa Raisi Wa Nchi Hii Mimi Nabadili Jinsia Yangu Nakua Mwanamke.
Raisi Wa Nchi Ajae Ni Dk.J.P Magufuli.Mwenye Masikio Na Asikie
hivyo wewe ni gay ila unataka tu kujirasimisha but usitumie kigezo cha lowasa
ila jiandae kumuona lowasa kuwa rais
Jamani tusifarijiane mwaka huu CCM imekwisha Lowasa anachukua nchi...
Jana nikiwa nimesimama sehemu napitiapitia vichwa Vya habari kwenye magazeti pale posta mpya, alikuja kijana mmoja aliyejionyesha kama ni msomi....basi kuna gazeti moja liliandika Ukawa wakipewa nchi wataigeuza kua Libya "japo sikumbuki vizuri kile kichwa" na lingine liliandika ntaibadilisha Z'bar kuwa kama singapore asema mahalim seif sharif hamad... Sasa yule kijana akaanza kuponde ile ya seif akisema huo ni usanii haiwezekani, alafu akaanza kusifia ile ya magufuli isemayo wakichukua wapinzani nchi itageuka kua "Libya" jamani yule kijana alizomewa galfa na watu wote waliokua pale ailulizwa maswali magumu..
watu wakaanza kamwambia kawaambie waliokutuma, watanzania tumeamua Lowasa raisi wetu...nikasema safi sana watu wameamka. .sasa wewe ni nani upinge kuwa lowasa sio raisi?
Sijaelewa mkuu..yani utatoa ule mtandao pendwa,au?
USHINDI KWA LOWASSA (UKAWA, CHADEMA)NI LAZIMA, MAANA NI MPANGO WA MUNGU.
Maana MUNGU anasema hivi, Kwa sababu hiyo, MIMI nitafanya tena kazi ya ajabu kati ya watu hawa, "kazi ya ajabu na muujiza " na akili za watu wao wenye akili zitapotea, na ufahamu wa wenye busara wao utafichwa. Isaya 29:14.
Kazi ya ajabu ni kama vile alivyowavusha Israeli katika bahari ya sham.
Ayubu 42:2~ imeandikwa, Najua yakuwa waweza kufanya mambo yote, Na makusudi yako hayawezi kuzuilika. Anamaanisha, anachopanga MUNGU mwanadamu, kwa nafasi yake, akili yake, kwa nguvu zake, kwa hekima yake ya kidunia, kwa jina lolote alilonalo katika dunia hii kamwe hawezi kuzuia kusudi la MUNGU kutimia kwa aliyemkusudia, hata mumchafue kivipi!
Ndiyo maana anasema tena hivi, Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni "nguvu ya MUNGU". Kwa kuwa imeandikwa, Nitahiharibu hekima yao wenye hekima,
Hadi sasa hivi hali imeshajibainisha kuwa lowassa hana majibu ya maswali mengi na nawapambe wake wengi tu wameshapigwa ganzi bado wewe tu,
Jamani mimi nawashauri watu wenye mapenzi makubwa saana na wagombea nendeni taratibu, kura bado haijapigwa na wala hujui nani atampigia nani, wewe timiza wajibu wako acha ushabiki washauri watu wapige kura, lakini ukianza hivyo mfano Mgombea wako kura zikiwa chache si utakuwa mwanzo wa vurugu? Kumbuka hupigi kura peke yako au na watu uliowakuta kwenye kijiwe, usilete matokeo ambayo hayajafanyika. Tutavuka tukifika!Jamani mi sinzungumzii mambo ya ukabila hapa nazungumzia uhalisia wa nilichokiona pale posta...