Ninamtafuta dada aliye Dar es salaam

Ninamtafuta dada aliye Dar es salaam

Freddy.Freddy

Senior Member
Joined
May 29, 2015
Posts
105
Reaction score
44
Mimi ni kijana nasafiri kuja Dar Jumatano na ninatafuta dada wa Dar atakayenionyesha hilo jiji kwa sababu nitakuwepo pale kwa wiki mbili kikazi na ningependa kujua sehemu kadhaa kama vile beach, sehemu za kuburudika na chochote kile cha kuvutia jijini Dar.
 
kina dada wasipo jitokeza tafuta wakaka tupo.
 
Njoo nipo hapa Viva Towers nafanya Rhapsody.......ukija tukutane hapo Smooch..........
 
Pesa hiyo mama anguuuu

Hheheheeh, kaka bana sio fursa ya hela, ningekuwa na hela nyingi siningetafuta tour guide basi! Ni rafiki tu nataka anionyeshe huo mtaa kwa sababu kuwa mgeni tena inaweza ikawa boring sana.
 
Back
Top Bottom