Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
Hapa ndipo mlipopumbazika employee karibu wote wa public sector. Unasema nimekuja na unrealistic idea ya outsource. Upumbavu wako hapa ni kutokana na watu wa serikalini kudhani mnayofanya ndiyo realistic idea na tunayosema is unrealistic.
Nilichowaumbua na ninachodhani ni kwamba huko serikalinimmejazana manyumbu tu vilaza fulani. Ningekuheshimu kama ungesema ni unrealistic practise kuliko kusema ni unrealistic idea kwa sababu ninachoseam was a practiced case na si idea tena.
usingekuwa mpumbavu wa kutoafiti basi ungegundua kwamba nilihokieleza ndicho kinachotokea katika private sector na nyinyi mnaojifanya thinktnk ya public sector hili liliwapita.
Kifupi ni kwamba sikuleta, sijaleta na sintafikiria kuleta idea yoyote. Nilichosema ndicho kiko katika practose ya private sector and it diong just fine wakati nyinyi public sector naumbuka kuonekana ni watu wa "yes man" na kwa hakika ni kwamba mmepitwa na wakati.
Nenda VODACOM, AIRTEL, TIGO uone karibu asilimia 80 imekuwa "outsourced" tena zaidi ya miaka kumi iliyopita ndipo mgundue kwamba "private sector ilishazinduka miaka 11 iliyopita kuhusu outsource wakati mnaojifanya wataalamu wa serikali mlishapitwa na wakati huenda mlikuwa mnazingatia posho na imprest na sasa mnaaibika.
Kama hujui "outsource ni nini, basi uliza VODACOM, AIRTEL, TIGO ni nini kisha uliza NSN, EROLINK, HUAWEI ni nini na ndipo tuje tuongee pamoja.
Ndugu zangu mlioko serikalini poleni sana. Nina hakika walioko private sector wanajua ninachoongea.
Ningekuwa na uwezo au ningeweka sheria kwamba hutakiwi kufanya kazi serikalini hadi uwe umepitia private sector kwa miaka 20 kuliko kuleta ndo zisizotekelezeka kama zako na washabiki wako.
Poleni sana wafanyakazi wote wa serikali kama wote wana mawazo kama yako
Hivi unaanzaje kumjibu mtu kama huyu maana humo naona matusi, kebehi na kejeli tu.
alafu mtu mwenyewe empty kabisa hakuna anachokijua na kukiamini.
Pole sana kijana!