Ninampinga Bashe kuhusu TTCL kama ifuatavyo

One is appointing Board Members to monitor the Management and protect its owners interest. That is the Government.

The other is appointing/offers Board Members/Chairmanship to protect the company interest aiming to take advantage using his/her influence. That is private sector.

Nakubaliana na wewe kwenye hili la HR's kuondokana na kuhodhi kila idara.

However nikutaarifu kuwa Serikali yetu kwa kiasi kikubwa imeshatumia mfumo huo wa "outsourcing" kazi nyingi zinapewa makampuni binafsi kwa tenda na ndio waajiri wa watumishi wake.

Ni wazo jema kama TTCL watalielewa na kulupokea walifanyie kazi
 
kuna maarifa mapya nimeyapata kuhusina mfumo wa makampuni...

Ndiyo kazi ya Jamii Forum ambayo ilipingwa sana lakini juzijuzi Mwakyembe mwenyewe kasema "Jamii Forum" mnajitahidi. Jamii Forum si Maxcence bali ni wewe na mimi tunaotoa michango hii.
 
Acheni kupotezeana muda. Kama hujui maana ya "outsourcing" you can simply google it. Tunaishi kwenye karne ya 21! Kila kitu kit kiko kwenye finger tips..

..i dont understand what google means.

..but the word sounds familiar.

..unaomba unifafanulie. Nimekwama.

Cc SubiriJibu
 
Mh Bashe ameongelea recruitments Process ndani ya mashirika ya Umma Ni kweli alichosema musajiri anatakiwa awe na power ya kuajiri na kufukuza kwa sababu yeye ndiyo yuko karibu na hao watumishi The Basha yuko sahihi wakati mwingine watu.wana overlook vitu na uharisia mkubwa kwa kifupi naweza kusema hivi Culture eats Strategies kama usipo fikiri kwa mapana ukajenga hoja.zako kwa misingi ya utamaduni don't think out of the box instead throw the box out
 
Wiki iliyopita My Bashe alichangia vitu vya msingi kabisa katika suala zima la mpango wa nchi wa maendeleo uliowasilishwa ma waziri wa fedha na mipango kuhusu engagements of the forgotten key Stake holders katika mpango mzima na hapa alikuwa anamanisha wakulima lakini pia aligusia desturi au mila za uchumi kwamba unaangalia biashara,

soko la hisa na taasisi za fedha kwa mkutadha huo wapi alisema uongo anachofanya mh Bashe anataka mijadara ndani ya Bunge iwe technical oriented and not Political oriented namukubali sana huyu kamanda
 
Wiki iliyopita My Bashe alichangia vitu vya msingi kabisa katika suala zima la mpango wa nchi wa maendeleo uliowasilishwa ma waziri wa fedha na mipango kuhusu engagements of the forgotten key Stake holders katika mpango mzima na hapa alikuwa anamanisha wakulima lakini pia aligusia desturi au mila za uchumi kwamba unaangalia biashara, soko la hisa na taasisi za fedha kwa mkutadha huo wapi alisema uongo anachofanya mh Bashe anataka mijadara ndani ya Bunge iwe technical oriented and not Political oriented namukubali sana huyu kamanda

Read my thread between lines.
 
Well said ila wachache ndio wataelewa,private sector always MD lazima awe foreigner sijui kuna kasumba gani hapaa,
Kuna kampuni kubwa ya mawasiliano MD ameondoka wameleta MD mwingine toka ghana,ila na sisii watz tukipewa position kubwa tunajisahau tunaeka urasimu mwingi sana tumeshazoea kuongozwa tu
Subiri uone pale TTCL baada ya miaka kadhaa utaambiwa pale wamejaa kabila flani au dini flanii kutoka kwa maagizo ya MD
Sec,outsource ni labda humohumo ndani ya kampuni zitengenezwe mfano kampuni moja hapa mjinii imejigawa sales n distribution ni tofauti na marketing I.e sales imetengenexa kaidara flani ambacho kanajitegemea ila kapo ndani ya kampunii hii imesaidia kupunguza muingiliano wa kazii
Ila kwa swala la custmoer servise ni lazima litafutiwe outsource maana customer kwa makampuni ya mawasiliano ndio uti wa mgongo lazima iwe ni special case
Mnivumilie sio mzoefu sana katika uchangiajii
Unajua kila kampuni director wake anajenga department ya ziada kutokana na umuhimu na ugumu,mfano mimi na kampuni ambayo huwezi uza bidhaa zake bila kuwafundisha wateja,wakati huohuo inategemea msimu,sasa ikabidi katika department ya maketing tuivunje, moja maketing iwe ina husika kwenye maduka kusihika na distributors na tukawa na promotion manage na department yake nae wanazunguka kufundika na advertisement,moja ya sababu ni mtu wamaketing anafundishwa biashara na ikiwa ni vitu vya taaluma ingine inawasumbua sana n.k.na tukafanikiwa sana,hivyo kila kampuni inaangalia changamoto yake na kutatua kwa njia yake,kama mtu umesha wahi kukutana na changamoto hizo then ni rahisi kuelewa kampuni zingine kwanini zina vuruga utaratibu wa departments.
 
Hapana, habari nzima ya kuchanganya thread mbili zilizoanzishwa tofauti na zenye mtiririko wa uchangiaji tofauti ni upunguani.

Upunguani huu unazidi pale ambapo unagundua kwamba hata kuchanganya thread mbili kwenyewe hakujafanywa vizuri, kwa maana bado zinatokea kama threads mbili tofauti.

Kuzidi kwa upunguani huku kunakithiri unapotetea upunguani huu uliozidi kwa kutetea kitu ambacho hujakielewa.

Hukulazimishwa kusoma.
 
Mkuu waliokuunga mkono kuhusu hoja yako sijui kama wanauelewa was hicho ulichoandika. Point ya Bashe bado ina mashiko. Anazungumzia bani awe na powers za kyisimamia bodi na sio business units. Usimamizi was bodi usiwe chini ya mtendaji wa kisiasa bali mtu mwenye umiliki wa mali.

Wewe unakuja na unrealistic ideas kuhusu outsourcing. The whole issue no good practice ya corporate management ambapo unatenganisha ownership na management of the company. Kuna maandishi mengi sana kuhusu swala hili lakini hakuna hizo figisu zako. Kama zipo nope reference nikasome maana now nikuelimishana.

Hakuna kwenye business unit kuelezea uajiri uweje. Usipotoshe kwa kutokuwa na uelewa wa swala unalizungumzia. Private sector ndiko haswa hili swala linakozungumziwa na weakness kubwa ya palastetals ni katika corporate governance hasa kutenganisha maamuzi ya kisiasa na uendeshaji wa biashara.

Outsourcing ni njia ya kupunguza matumizi yasiyo ya lazima au building of capabilities zisizo na ulazima kwa ndani na siyo oversight ya management au uajiri kama unavyodanganya. Nipo tayari kupingwa kwa marejeo na siyo bra bra zako. Nakusubiri!
Umetaja neno upunguwani sasa ujibiwe nini.
 
Mkuu waliokuunga mkono kuhusu hoja yako sijui kama wanauelewa was hicho ulichoandika. Point ya Bashe bado ina mashiko. Anazungumzia bani awe na powers za kyisimamia bodi na sio business units. Usimamizi was bodi usiwe chini ya mtendaji wa kisiasa bali mtu mwenye umiliki wa mali.

Wewe unakuja na unrealistic ideas kuhusu outsourcing. The whole issue no good practice ya corporate management ambapo unatenganisha ownership na management of the company. Kuna maandishi mengi sana kuhusu swala hili lakini hakuna hizo figisu zako. Kama zipo nope reference nikasome maana now nikuelimishana.

Hakuna kwenye business unit kuelezea uajiri uweje. Usipotoshe kwa kutokuwa na uelewa wa swala unalizungumzia. Private sector ndiko haswa hili swala linakozungumziwa na weakness kubwa ya palastetals ni katika corporate governance hasa kutenganisha maamuzi ya kisiasa na uendeshaji wa biashara.

Outsourcing ni njia ya kupunguza matumizi yasiyo ya lazima au building of capabilities zisizo na ulazima kwa ndani na siyo oversight ya management au uajiri kama unavyodanganya. Nipo tayari kupingwa kwa marejeo na siyo bra bra zako. Nakusubiri!

Hapa ndipo mlipopumbazika employee karibu wote wa public sector. Unasema nimekuja na unrealistic idea ya outsource. Upumbavu wako hapa ni kutokana na watu wa serikalini kudhani mnayofanya ndiyo realistic idea na tunayosema is unrealistic.

Nilichowaumbua na ninachodhani ni kwamba huko serikalinimmejazana manyumbu tu vilaza fulani. Ningekuheshimu kama ungesema ni unrealistic practise kuliko kusema ni unrealistic idea kwa sababu ninachoseam was a practiced case na si idea tena.

usingekuwa mpumbavu wa kutoafiti basi ungegundua kwamba nilihokieleza ndicho kinachotokea katika private sector na nyinyi mnaojifanya thinktnk ya public sector hili liliwapita.

Kifupi ni kwamba sikuleta, sijaleta na sintafikiria kuleta idea yoyote. Nilichosema ndicho kiko katika practose ya private sector and it diong just fine wakati nyinyi public sector naumbuka kuonekana ni watu wa "yes man" na kwa hakika ni kwamba mmepitwa na wakati.
Nenda VODACOM, AIRTEL, TIGO uone karibu asilimia 80 imekuwa "outsourced" tena zaidi ya miaka kumi iliyopita ndipo mgundue kwamba "private sector ilishazinduka miaka 11 iliyopita kuhusu outsource wakati mnaojifanya wataalamu wa serikali mlishapitwa na wakati huenda mlikuwa mnazingatia posho na imprest na sasa mnaaibika.

Kama hujui "outsource ni nini, basi uliza VODACOM, AIRTEL, TIGO ni nini kisha uliza NSN, EROLINK, HUAWEI ni nini na ndipo tuje tuongee pamoja.

Ndugu zangu mlioko serikalini poleni sana. Nina hakika walioko private sector wanajua ninachoongea.

Ningekuwa na uwezo au ningeweka sheria kwamba hutakiwi kufanya kazi serikalini hadi uwe umepitia private sector kwa miaka 20 kuliko kuleta ndo zisizotekelezeka kama zako na washabiki wako.

Poleni sana wafanyakazi wote wa serikali kama wote wana mawazo kama yako
 
Hata wewe hukulazimishwa kusoma nilichoandika, what's your point? If you have one at all that is.

Hujajibu kilichotajwa na ulichojibu hakijaulizwa.

MImi ndiye niliteleta thread hivyo jibu contents za thread. Ila ninafurahi somo lilivyowakuna na mnavyojikanyaga kupindisha mada na kuchomeka maneno ya matusi wakati sikuweka tusi hata moja.

Philosopy ya matusi na kejeli ni baada ya kushindwa kutoa hoja halisi. Jibu hoja yangu ili ujibiwe yako kama ipo vilevie lakini kama ni kejeli hutajibiwa.
 
MImi ndiye niliteleta thread hivyo jibu contents za thread. Ila ninafurahi somo lilivyowakuna na mnavyojikanyaga kupindisha mada na kuchomeka maneno ya matusi wakati sikuweka tusi hata moja.

Philosopy ya matusi na kejeli ni baada ya kushindwa kutoa hoja halisi. Jibu hoja yangu ili ujibiwe yako kama ipo vilevie lakini kama ni kejeli hutajibiwa.
Hoja hata ukiiona utaijua?
 
Mkuu,

Hivi unaposema "outsourcing" ndiyo for the first time unaisikia hiyo concept kwangu, hivi unatania au uko serious?

Maana JF wakati mwingine utani ni mwingi na siamini unachosema.

Kama hutanii kwa kweli siwezi ku-comment nikutakie tu pole sana huko dunia unayoishi.
Y
Usimlaumu ame outsource argument yake
 
Msiojua neno "oustourcing" bahati yenu ni kwamba tunaandika humu kwa ID za bandia lakini fahamu kwamba ni aibu isiyoelezeka kama ungekuwa umeandika jina lako halisi halafu wote mtandaoni tunakuona katika Tanzania ya leo hujui maana ya "outsourcing".

Ndiya maana mwenzako nimempa pole kutokana na ulimwengu anaoishi hadi asijue "outsource level" tuliyofikia Tanzania.

Na wengi wenu mnaodiriki kusema hamjui "outsourcing" nahisi ni wafanyakazi mlioko serikalini maana hata cooments zenu zimekaa kiserikaliserikali na kama ni hivyo poleni sana.

Kwa sababu mada ni TTCL kama hujui "outsourcing" tafuta mfanyakazi yeyote wa kampuni za simu unazozijua hata kama ni wa ngazi ya chini kabisa, atakufundisha nini maana ya "outsourcing".
Usitubeze wafanyakazi wa serikali mkuu
 
Mkuu nilifikiri utakuja na majibu ya kunifanya nielewe vizuri naona unakuja na hasira bila issues. Siko serikalini na hiyo model ya voda nk siyo outsourcing! Nenda HR department watakuelezea nini kinafanyika. Nilichokoza mada ili ufunguke zaidi na kutoa maelezo yenye evidence ya kisomi kuwa hii model unayosema iko supported na maandishi katika governance au HR structure na siyo hisia. Badala ya kujenga hoja yako naona imekuwa argument ya jambo usilolijua. Sijaona hoja zaidi ya kuwa na matusi na kuwa defensive. Mwanzo nilifikiri ninaweza kujadiliana na wewe na kujenga hoja za kitetezi ili tufaidike.hata hivyo nimegundua ni mtu wa aina gani ninayebadilishana nae uzoeefu. Kwa kifupi ume conclude hii siyo mada ya level yako. It is beyond your knowledge na mimi sitaki nibishane na wewe Kwa kitu usichokijuwa. Nimekuelewa. By the way when not realistic can not be practised.
Hapa ndipo mlipopumbazika employee karibu wote wa public sector. Unasema nimekuja na unrealistic idea ya outsource. Upumbavu wako hapa ni kutokana na watu wa serikalini kudhani mnayofanya ndiyo realistic idea na tunayosema is unrealistic.

Nilichowaumbua na ninachodhani ni kwamba huko serikalinimmejazana manyumbu tu vilaza fulani. Ningekuheshimu kama ungesema ni unrealistic practise kuliko kusema ni unrealistic idea kwa sababu ninachoseam was a practiced case na si idea tena.

usingekuwa mpumbavu wa kutoafiti basi ungegundua kwamba nilihokieleza ndicho kinachotokea katika private sector na nyinyi mnaojifanya thinktnk ya public sector hili liliwapita.

Kifupi ni kwamba sikuleta, sijaleta na sintafikiria kuleta idea yoyote. Nilichosema ndicho kiko katika practose ya private sector and it diong just fine wakati nyinyi public sector naumbuka kuonekana ni watu wa "yes man" na kwa hakika ni kwamba mmepitwa na wakati.
Nenda VODACOM, AIRTEL, TIGO uone karibu asilimia 80 imekuwa "outsourced" tena zaidi ya miaka kumi iliyopita ndipo mgundue kwamba "private sector ilishazinduka miaka 11 iliyopita kuhusu outsource wakati mnaojifanya wataalamu wa serikali mlishapitwa na wakati huenda mlikuwa mnazingatia posho na imprest na sasa mnaaibika.

Kama hujui "outsource ni nini, basi uliza VODACOM, AIRTEL, TIGO ni nini kisha uliza NSN, EROLINK, HUAWEI ni nini na ndipo tuje tuongee pamoja.

Ndugu zangu mlioko serikalini poleni sana. Nina hakika walioko private sector wanajua ninachoongea.

Ningekuwa na uwezo au ningeweka sheria kwamba hutakiwi kufanya kazi serikalini hadi uwe umepitia private sector kwa miaka 20 kuliko kuleta ndo zisizotekelezeka kama zako na washabiki wako.

Poleni sana wafanyakazi wote wa serikali kama wote wana mawazo kama yako
 
Kajifunze kwanza kiswahili ndipo uje tuhisi unaongea nini kwa sababu wewe si GT bali ni mtu wa kuhisihisi?

Asante GT usiye HISIHISI! , Maana wewe ndiye Mswahili sana.

Ila narudia tena.
Kajifunze tofauti ya “Treasury Registrar na mmabo ya finance uliyoyazungumzia.
By the way just Hint tu, ni kuwa Finance uliyozungumzia wewe ni SUBSET ya TREASURY REGISTRAR" au ni moja kazi za huyo usiye mtaka.
 
Back
Top Bottom