Ninampinga Bashe kuhusu TTCL kama ifuatavyo

Ninampinga Bashe kuhusu TTCL kama ifuatavyo

Mwenye thread asishangae wasiojuwa neno "Outsourcing", sababu wengi wako serikalini au kazi za "outsourcing" hazifanyiki nchini...sina uhakika..

Ngoja nisaidie hapa, TTCL, itoe tender na kuajiri kampuni nyingine kabisa iwe inafanya kazi zake, labda za kutengeneza na kuuza simu kama (HUAWEI), Computer Programming etc etc, au labda kuajiri kampuni nyingine kabisa ifanye kazi zake za "Customer Services" hasa zile za 24hrs, hiyo kampuni iliyopewa tender yaweza kuwa hapa nchini au nje,

Mfano Kenya, infact katika kuongelea hili, ingependeza wajuzi wachangamkie hiyo tender, waweza tu kodisha nyumba sehemu mjini, sajili kampuni, tafuta wafanyakazii mahiri wanaozungumza kishwahili na ung'eng'e mzuri, computers etc etc basi, kazi zako zatoka TTCL, yaani customers wote wa TTCL watakuwa directed kwako uwahudimie..
Mkuu SubiriJibu kasema na kaleta mambo yanayofanywa nchi zilizoendelea..safari ndefu

Ila imependeza zaidi (maneno ya Dr. Shika) kuona waTZ wanalijuwa hili...
 
..asante.

..tuko hapa kuelimishana na kuelekezana.

..ulipaswa kunielimisha kuhusu dhana ya "outsourcing" na siyo kunielekeza kwenda kuuliza kwenye makampuni ya simu.

Hapo juu jamaa kaeleza vizuri kuhusu outsourcing ni ile hali kwa mfano wew nyumbani kwako umeamua kutopika kabisa chakula na kuamua kutafuta kampuni ya catering isimamie mchongo mzima wa msosi mnaandikishiana mkataba
 
Hapo juu jamaa kaeleza vizuri kuhusu outsourcing ni ile hali kwa mfano wew nyumbani kwako umeamua kutopika kabisa chakula na kuamua kutafuta kampuni ya catering isimamie mchongo mzima wa msosi mnaandikishiana mkataba

Nisaidie ndugu yangu, maana wakati mwingine daaaah...
 
Hapo juu jamaa kaeleza vizuri kuhusu outsourcing ni ile hali kwa mfano wew nyumbani kwako umeamua kutopika kabisa chakula na kuamua kutafuta kampuni ya catering isimamie mchongo mzima wa msosi mnaandikishiana mkataba

Ungeweza hata kutoa mfano pia ukienda kwenye bar utakuta mwenye baa ana uwezo wa kuuza beer tu lakini kule jikoni kuna watu wengine kabisa na ndiyo maana hata pesa ya kinywaji na pesa ya nyama choma jikoni au kitimoto unatoa kwa watu tofauti kabisa.

HOLIDAYINN HOTEL (now SOUTHERN SUN) ili-outsource counter huduma ya vyumba ni kampuni nyingine na huduma ya beer (counter) ni kampuni nyingine.

Ndiyo maana nilijiona nina haki kumshangaa na kumpa pole mtu ambaye hadi leo yuko Tanzania na hajui "outsorce" ni nini?
 
Hapo juu jamaa kaeleza vizuri kuhusu outsourcing ni ile hali kwa mfano wew nyumbani kwako umeamua kutopika kabisa chakula na kuamua kutafuta kampuni ya catering isimamie mchongo mzima wa msosi mnaandikishiana mkataba

..Asante sana.

..Naelewa maana ya ku outsource.

..Ila jamaa yangu alikuja na moto, hivyo ikanibidi nijishushe/nipoe ili mjadala usiharibike.
 
Mosi,mara nyingi ,md wa private anatoka kwenye kampuni mama au mmiliki au wenye hisa wanamteua kulinda maslahi mapana ya wamiliki na biashara husika

Pili,bodi lengo ni kuisimamia kaampuni ila kwa ujumla wengi wanaweka wanasiasa lengo hoja zao zipate wa kusimamia hasa serikalini na wapate vitu km ofa , ruzuku nk,

Tatu, unatenganisha kampuni kati ya huduma za fedha na mawasiliano ili kila upande usiwe mvivu na kusababishiana hasara.

Nne,waziri na hazina lazima wote washirikiane kwa maana hazina yy ana pesa na waziri yy ana wataalamu.

Tano,tunaweza kutafuta md mwenye uzoefu na hii sekta na wapewe madaraka makubwa ya kuajiri na kufukuza

Sita,eneo ;la masoko na mauzo (ikiwemo huduma kwa wateja) ni vema likapewa hadhi tofauti hata km kampuni inayojitegemea maana ndipo ugonjwa wetu ulipo
 
mosi,mara nyingi ,md wa private anatoka kwenye kampuni mama au mmiliki au wenye hisa wanamteua kulinda maslahi mapana ya wamiliki na biashara husika
pili,bodi lengo ni kuisimamia kaampuni ila kwa ujumla wengi wanaweka wanasiasa lengo hoja zao zipate wa kusimamia hasa serikalin na wapate vitu km ofa , ruzuku nk,
tatu,unatenganisha kampuni kati ya huduma za fedha na mawasiliano ili kila upande usiwe mvivu na kusababishiana hasara.
nne,waziri na hazina lazima wote washirikiane kwa maana hazina yy ana pesa na waziri yy ana wataalamu.
tano,tunaweza kutafuta md mwenye uzoefu na hii sekta na wapewe madaraka makubwa ya kuajiri na kufukuza
sita,eneo
;la masoko na mauzo (ikiwemo huduma kwa wateja) ni vema likapewa hadhi tofauti hata km kampuni inayojitegemea maana ndipo ugonjwa wetu ulipo

Mkuu,

Kupata MD mwenye uzoefu na telecommunication sector ni ngumu na kwa hakika haiwezekani na ndiyo maana kweny epost yangu nimeuliza kama kuna mtanzania aliwahi hata kuwa finance director. Hakuna.

Hii maana yake MD lazima atatoka nje tu.
 
Mkuu, Kupata MD mwenye uzoefu na telecommunication sector ni ngumu na kwa hakika haiwezekani na ndiyo maana kwenye post yangu nimeuliza kama kuna mtanzania aliwahi hata kuwa finance director. Hakuna. Hii maana yake MD lazima atatoka nje tu.

Acha kabisa, lazima nikubaliane nawe, tulitegemea hata NMB basi, hakuna, wakina Mkwawa, Mwaikambo wameenda wapi?! Ina maana kweli tumekosa hatuna waTZ wenye elimu na uzoefu wa kazi kama hawa MD's toka nje?! Au ni kama ulivyosema huko nyuma, wawekezaji hawatuamini?

Itabidi mikataba yote ya wawekezaji ambayo dola ina hisa ingaliwe upya kwamba tuwe na watu wetu pale kwenye sehemu nyeti kama hizo za MD's na Finance, uzuri mnatufunguwa macho JF, tutashukuru kama posts hizi zitasomwa na wahusika...Naamini watu wapo, tatizo ni kupewa nafasi..
 
..asante.

..tuko hapa kuelimishana na kuelekezana.

..ulipaswa kunielimisha kuhusu dhana ya "outsourcing" na siyo kunielekeza kwenda kuuliza kwenye makampuni ya simu.
Acheni kupotezeana muda. Kama hujui maana ya "outsourcing" you can simply google it. Tunaishi kwenye karne ya 21! Kila kitu kit kiko kwenye finger tips..
 
Acha kabisa, lazima nikubaliane nawe, tulitegemea hata NMB basi, hakuna, wakina Mkwawa, Mwaikambo wameenda wapi?! Ina maana kweli tumekosa hatuna waTZ wenye elimu na uzoefu wa kazi kama hawa MD's toka nje?! Au ni kama ulivyosema huko nyuma, wawekezaji hawatuamini?
Itabidi mikataba yote ya wawekezaji ambayo dola ina hisa ingaliwe upya kwamba tuwe na watu wetu pale kwenye sehemu nyeti kama hizo za MD's na Finance, uzuri mnatufunguwa macho JF, tutashukuru kama posts hizi zitasomwa na wahusika...Naamini watu wapo, tatizo ni kupewa nafasi..

Kaka,

Tatizo siyo kwamba watu wapo au hawapo maana hii ni hoja mpya kabisa na ya msingi. Kama watu wapo tujiulize maswali yafuatayo.

Je, management ni nini? Watu wamesema na tunachoongelea no corporate management? Jibu ni kwamba management ni skill na ni profession kama xilivyo professions zingine.

Je kama management ni profession inayofundishwa katika colleges, je watanzania hawajawahi kusoma management ndiyo maana hawapewi management post?

Ukwlei ni kwamba hakuna profession ambayo ni rahisi kuisoma aau kuifaulu kama management. Nathibitisha hii kwa sababu mtu anasoma medicine, laws, finance, engineering na profession zote na anaogopa profession nyingine.

Lakini wote hawa wakimaliza undergraduate wengi hawaendi masters ya original professions zao bali wanaenda course mpya kabisa yaani "Managament". Ndiyo maana utaona wengi wamesoma Masters in Business Management (MBA). Na hawaishii kuisoma tu, wanaifaulu vizuri kuliko hata hao wazungu.

Sasa iweje mtu uwe na taifa lenye watu wengi waliofaulu management lakini halina Managing Director hata mmoja???!!!

Hii maana yake watanzania tuna tatizo jingine zaidi ya profession. Matatizo mengine tunayajua na tuyaseme wazi bila kujificha. Pita katika hizi kampuni watanzania hawajawahi kupewa u-director lakini wanapew vi-cheo vidogo-vidogo kusimamia tu-mambo tudogo-tudogo na vi-decision vidogo-vidogo.

Lakini hebu kawaangalie hawa walipewa hutu tudude todogo-tudogo. Wana ukwasi mkubwa wenye dalili za ufisadi mkubwa. Umepata kuwa supervisor kwa miaka mitatu unasomesha mtoto INternationa Shcool of Tanganyika, mke wako ana gari ya shs. milioni 30, wewe una gari ya shs. milioni 50, una jumba lenye thamani ya shs. milioni 300.

Umevipata wapi hivi wakati cheo cha usimamizi ni kidogo. hivi mtu kama wewe ukipewa kuwa MD si utajenga kabisa Uwanja wa ndege kuliko ule wa Chato.

Maisha yetu siyo siri na wawekezaji wanazijua fika hizi tabia zetu. Halafu mtu corrupt kama huyo wakupe kuwa Managing Director? Hawawezi kuwa wendawazimu kiasi hicho.

Kwa hiyo safari ya kumpata Managing Director mtanzania sahauni labda miaka kumi inayokuja.
 
Acheni kupotezeana muda. Kama hujui maana ya "outsourcing" you can simply google it. Tunaishi kwenye karne ya 21! Kila kitu kit kiko kwenye finger tips..

Hebu endelea kunisaidia mkuu. Kwamba ni ushamba gani katika karen hii mtu hajui maana ya "outsource". In fact nilimstahi sana huyo jamaa na kw akifupi sikutakiwa hata kutoa brief ya "outsource". Aliyejifungia na mambo yake ya kiserikaliserkali aendelee kuwaza ndoto za hukohuko serikalini na dunia haisubiri waliolala usingizi.


..Asante sana.

..Naelewa maana ya ku outsource.

..Ila jamaa yangu alikuja na moto, hivyo ikanibidi nijishushe/nipoe ili mjadala usiharibike.
 
Kaka, Tatizo siyo kwamba watu wapo au hawapo maana hii ni hoja mpya kabisa na ya msingi. Kama watu wapo tujiulize maswali yafuatayo. Je, management ni nini? Watu wamesema na tunachoongelea no corporate management? Jibu ni kwamba management ni skill na ni profession kama xilivyo professions zingine. Je kama management ni profession inayofundishwa katika colleges, je watanzania hawajawahi kusoma management ndiyo maana hawapewi management post? Ukwlei ni kwamba hakuna profession ambayo ni rahisi kuisoma aau kuifaulu kama management. Nathibitisha hii kwa sababu mtu anasoma medicine, laws, finance, engineering na profession zote na anaogopa profession nyingine. Lakini wote hawa wakimaliza undergraduate wengi hawaendi masters ya original professions zao bali wanaenda course mpya kabisa yaani "Managament". Ndiyo maana utaona wengi wamesoma Masters in Business Management (MBA). Na hawaishii kuisoma tu, wanaifaulu vizuri kuliko hata hao wazungu. Sasa iweje mtu uwe na taifa lenye watu wengi waliofaulu management lakini halina Managing Director hata mmoja???!!! Hii maana yake watanzania tuna tatizo jingine zaidi ya profession. Matatizo mengine tunayajua na tuyaseme wazi bila kujificha. Pita katika hizi kampuni watanzania hawajawahi kupewa u-director lakini wanapew vi-cheo vidogo-vidogo kusimamia tu-mambo tudogo-tudogo na vi-decision vidogo-vidogo. Lakini hebu kawaangalie hawa walipewa hutu tudude todogo-tudogo. Wana ukwasi mkubwa wenye dalili za ufisadi mkubwa. Umepata kuwa supervisor kwa miaka mitatu unasomesha mtoto INternationa Shcool of Tanganyika, mke wako ana gari ya shs. milioni 30, wewe una gari ya shs. milioni 50, una jumba lenye thamani ya shs. milioni 300. Umevipata wapi hivi wakati cheo cha usimamizi ni kidogo. hivi mtu kama wewe ukipewa kuwa MD si utajenga kabisa Uwanja wa ndege kuliko ule wa Chato. Maisha yetu siyo siri na wawekezaji wanazijua fika hizi tabia zetu. Halafu mtu corrupt kama huyo wakupe kuwa Managing Director? Hawawezi kuwa wendawazimu kiasi hicho. Kwa hiyo safari ya kumpata Managing Director mtanzania sahauni labda miaka kumi inayokuja.

Kweli, nafikiri unachokieleza kilishawahi kusemwa humu ndani, fikra zilizoanza kwenye miaka ya 90, kwamba ukiajiriwa sehemu lazima ufanye ufisadi, wazazi kuponda watoto wanaofanya kazi sehemu nyeti kwa kutokuwa na nyumba au magari, ilikuwa mbaya sana wakati wa Mwinyi, ikapunguwa wakati wa Mkapa, ikashika hatamu mwishoni wa uongozi wake na kushamiri wakati wa Kikwete, ilifika hata mtoto yuko shule ya msingi ukimhoji anakwambia angependa awe na magari na majumba kama fulani, yule fulani ambaye ni kama role model wake wakuta ni fisadi sehemu fulani, au muuza na msambazaji wa madawa ya kulevya!

It was terrible, where did we go wrong? Je Magu anaturudisha back to basics? Tusiendelee kwenye vyeti feki, maana kule nako kumeleta athari ya kukosa watu mahiri uwasemao..

What is the way forward? Is it what is happening now? Should we applaud the govt and contribute as well? Are they ready to listen and make way to these changes? Maswali ni mengi kuliko majibu, ila nitashukuru kama wewe na mimi kwa nafasi zetu tuendelee kuchangia haya, naamini tutabadilika..
 
Kweli, nafikiri unachokieleza kilishawahi kusemwa humu ndani, fikra zilizoanza kwenye miaka ya 90, kwamba ukiajiriwa sehemu lazima ufanye ufisadi, wazazi kuponda watoto wanaofanya kazi sehemu nyeti kwa kutokuwa na nyumba au magari, ilikuwa mbaya sana wakati wa Mwinyi, ikapunguwa wakati wa Mkapa, ikashika hatamu mwishoni wa uongozi wake na kushamiri wakati wa Kikwete, ilifika hata mtoto yuko shule ya msingi ukimhoji anakwambia angependa awe na magari na maumba kama fulani, yule fulani ambaye ni kama role model wake wakuta ni fisadi sehemu fulani, au muuza na msambazaji wa madawa ya kulevya! It was terrible, where did we go wrong? Je Magu anaturudisha back to basics? Tusiendelee kwenye vyeti feki, maana kule nako kumeleta athari ya kukosa watu mahiri uwasemao..
What is the way forward? Is it what is happening now? Should we applaud the govt and contribute as well? Are they ready to listen and make way to these changes? Maswali ni mengi kuliko majibu, ila nitashukuru kama wewe na mimi kwa nafasi zetu tuendelee kuchangia haya, naamini tutabadilika..

Nakubaliana na hayo yote kwenye RED. LAzima turudi kwenye basics.
 
Nimejitahidi kusoma na nikamaliza, ila kila navyosoma naona kama vile hujuhi maana ya “Treasury Registrar"

Kama unaijua basi nakuomba kaisome tena, maana nahisi unachanganya “Treasury Registrar na mmabo ya finance vitu visivyo fanana kabisa.
 
Nimejitahidi kusoma na nikamaliza, ila kila navyosoma naona kama vile hujuhi maana ya “Treasury Registrar"

Kama unaijua basi nakuomba kaisome tena, maana nahisi unachanganya “Treasury Registrar na mmabo ya finance vitu visivyo fanana kabisa.

Kajifunze kwanza kiswahili ndipo uje tuhisi unaongea nini kwa sababu wewe si GT bali ni mtu wa kuhisihisi?
 
Back
Top Bottom