Mwanakijiji kama ulivyosema kiti cha spika ni dhaifu na siwezi kuongeza kwa maelezo yako maana yanajitosheleza bali itoshe kuongeza kuwa mimi naomba tuwaunge mkono wabunge wa upinzani walioko pale bungeni. Tuwe na joint project kuanzia na kuendelea ambayo iwajumishe great thinkers wa jukwaa hili na wasomi wetu wote, wanasheria, vyama vya taaluma, wanaharakati na watu wote katika umoja wao. Tutumie kila njia (channels at disposal) kuhakikisha spika na makamu wake wanapata ujumbe in black and white kuwa wanachokifanya is boomerang kwao na wenzao CCM.
Na tuendelee kushinikiza na kushauri katika mchakato wa Katiba Mpya ingawa unaonyesha kubakwa na kuibeba CCM kuwa spika lazima asitoke chama chochote cha siasa na afanyiwe usaili wa waziwazi kupitia chombo chenye masafa mapana kinachoonekana asilimia kubwa ya Tanzania ili tumpime. Na viwekwe vipengele vya kumwajibisha atakapoluwa anaenda kinyume cha sheria, kanuni na taratibu. Hii itatuondolea speaker king/queen kama alivyo wa sasa na amewaambukiza wenyeviti wa vikao vya bunge.
Ushauri kwa CDM tushawaona speaker na naibu walivyokuwa biased and prejudiced against you. Msichoke maana sisi tulio nje tunaangali utetezi wenu ulivyo na maslahi mapana kwa nchi. Mtu anasiamama kutetea usalama wa Taifa ambao tayari umetuhumiwa kuwa usiguswe, Kweli? Wananchi walikuchagua kwenda kuwa kama dodoki wa kumeza kitu bila kuchuja?
Kwa wananchi naomba tuamke na sheria hizi za watu kuwa hawaguswi hata kama wanahatarisha usalama wetu tuzikatae. Mbona zamani idara hii iliheshimiwa na ilikuwa haisemwi. Kwani hawakuwepo. Walikuwepo lakini walilinda usalama wetu sisi waajiri wao na ndio tukatunga sheria ya kuwalinda. Sasa mambo wamebadilika na lazima sheria hizi ziondolewe na wamulikwe
Na tuendelee kushinikiza na kushauri katika mchakato wa Katiba Mpya ingawa unaonyesha kubakwa na kuibeba CCM kuwa spika lazima asitoke chama chochote cha siasa na afanyiwe usaili wa waziwazi kupitia chombo chenye masafa mapana kinachoonekana asilimia kubwa ya Tanzania ili tumpime. Na viwekwe vipengele vya kumwajibisha atakapoluwa anaenda kinyume cha sheria, kanuni na taratibu. Hii itatuondolea speaker king/queen kama alivyo wa sasa na amewaambukiza wenyeviti wa vikao vya bunge.
Ushauri kwa CDM tushawaona speaker na naibu walivyokuwa biased and prejudiced against you. Msichoke maana sisi tulio nje tunaangali utetezi wenu ulivyo na maslahi mapana kwa nchi. Mtu anasiamama kutetea usalama wa Taifa ambao tayari umetuhumiwa kuwa usiguswe, Kweli? Wananchi walikuchagua kwenda kuwa kama dodoki wa kumeza kitu bila kuchuja?
Kwa wananchi naomba tuamke na sheria hizi za watu kuwa hawaguswi hata kama wanahatarisha usalama wetu tuzikatae. Mbona zamani idara hii iliheshimiwa na ilikuwa haisemwi. Kwani hawakuwepo. Walikuwepo lakini walilinda usalama wetu sisi waajiri wao na ndio tukatunga sheria ya kuwalinda. Sasa mambo wamebadilika na lazima sheria hizi ziondolewe na wamulikwe